Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
kazi kwenu mimi nashughulikia mdhamana wa sheikh ponda sasa kama mtu anatoka kigoma ni mrundi hata sheikh ponda ameambiwa ni mrundi mbona DR SLAA NI MUIRAQ AMETOKA BAGHDAD
Tehteh! IRAQ ya Nebuchadnezar ? So ana undugu na Nebuchadnezar? Kweli huyu jamaa ni Rais 2015. Maana hakuna aliyewahi kuitawala Iraq akaiweza zaidi ya Nebchadnezar wengine wote itakuwa mshike mshike kama tulivyoona kabla ya saadam na wakti wake hata tunavyoona sasa hivi.