mbona baba yako kikwete kila leo yuko kwa hao wakoloni kuombeleza! kwanini hujampa akili za kujikomboa?Utumwa ni kulilia mkoloni na mambo yake kuanzia majina aliyo tuachia kama tanganyika na siasa za CUF na Jamsheed wao. Mimi ni mwafrikna na proud of being one na ntapigania chochote chenye kulinda hadhi yetu including umoja wetu.
Mtumwa ni yule anaejitambulisha kinyume na hapo na kuona mambo anayofanya mwafrika na jitihada za kujikomboa hazina maana.
mbona baba yako kikwete kila leo yuko kwa hao wakoloni kuombeleza! kwanini hujampa akili za kujikomboa?
Mkuu una kauli nzito zenye mshindo mkuu.
CCM wanapepo hawaelewi chochote mkuu. Hata kama wakielewa wakitoka nche wakirudi utadhani ni wengine wamepaka maker up kumbe ni wao wamebadilishwa akili na mabwana zao. huwezi jua hata tofauti ya mwanamke na mwanaume maana hawana misimamo hata chembe. kule watu ni Deo, Kangi, Easter na Lembeli tu.Kwa kweli, hata mimi nimemwelewa vizuri. Amejieleza kiufasaha sana. Natumaini Kamati nyingine zijitahidi kuwapa watu wa jinsi hii nafasi kuwatetea wachache. Hapa mwananchi wa kawaida ameelewa na hata wzle wenye mioyo migumu kushtuka kiasi fulani.
Bangi mbaya sana, acha.
Utumbo mtupuuuuuuuuuuu?????
Mkuu naomba nikutukane kidogo, wewe ni tahahira, Hujui uhujui chochote zaidi ya Upinzani na CCM "Blaliful"Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.
Kila wakitia maguu vijijini na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini maji vipi? soko la mazao liko wapi? miundombinu hipo wapi? na mtatusaidia vipi?. Wanauma uma majibu hawana sera hawana, zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana.
Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi ujao yetu macho badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafiki tu kama kiongozi alietoa mapendekezo ya serikali tatu.
Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara, asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.
mkuu Feedback chukua "like" ngoja nimuache huyu Happy feet coz soon anaweza kuji-mkwawa!!Unapoambiwa hujitambui si kwamba hujui kabila lako, ina maana hujui kwa nini ulizaliwa na umezaliwa ili ufanye nini na hujui umuhimu wako kwa jamii inayokuzunguka.
Kama wewe ni Mtanzania je unajua asili ya Tanzania na kwa nini iliitwa Tanzania? Je wazazi wako waliozaliwa kabla ya Tanzania watajiita Watanzania? Kama ndivyo ikitokea shirikisho la EAC likaungana na kuwa nchi moja wewe utajiitaje MEAC?
Nadhani wabunge wa upinzani hawana budi kuiga hii style ya Kafulila, kupayuka sana hakusaidii, nimependa alivyokuwa ametulia na kujiamini.
Nimevutiwa na jinsi Mbuge Huyu alivyo weza kujieleza na kutetea Serikali Tatu kwenye Bunge Maaluma La Katiba,ameeleza kwa ufasaha na nguvu za hoja kiasi kwa waliosikiliza/kuangalia live.
Ametetea Serikali Tatu na Kumpongeza Jaji Mstaafu Joseph Warioba kwa kazi aliyoifanya na Tume yake,na kuwabeza wanaoipinga Tume ya Warioba.
Wamenyeshewa mvuawakuu mbona leo kuna kundi fulani halichangii kulikon?