Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,567
- 12,206
Nimevutiwa na jinsi Mbuge Huyu alivyo weza kujieleza na kutetea Serikali Tatu kwenye Bunge Maaluma La Katiba,ameeleza kwa ufasaha na nguvu za hoja kiasi kwa waliosikiliza/kuangalia live.
Ametetea Serikali Tatu na Kumpongeza Jaji Mstaafu Joseph Warioba kwa kazi aliyoifanya na Tume yake,na kuwabeza wanaoipinga Tume ya Warioba.
Ametetea Serikali Tatu na Kumpongeza Jaji Mstaafu Joseph Warioba kwa kazi aliyoifanya na Tume yake,na kuwabeza wanaoipinga Tume ya Warioba.