David Kafulila,na Serikali Tatu

David Kafulila,na Serikali Tatu

Msingida

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,567
Reaction score
12,206
Nimevutiwa na jinsi Mbuge Huyu alivyo weza kujieleza na kutetea Serikali Tatu kwenye Bunge Maaluma La Katiba,ameeleza kwa ufasaha na nguvu za hoja kiasi kwa waliosikiliza/kuangalia live.
Ametetea Serikali Tatu na Kumpongeza Jaji Mstaafu Joseph Warioba kwa kazi aliyoifanya na Tume yake,na kuwabeza wanaoipinga Tume ya Warioba.
 
Kwa kweli, hata mimi nimemwelewa vizuri. Amejieleza kiufasaha sana. Natumaini Kamati nyingine zijitahidi kuwapa watu wa jinsi hii nafasi kuwatetea wachache. Hapa mwananchi wa kawaida ameelewa na hata wzle wenye mioyo migumu kushtuka kiasi fulani.
 
usilie warioba watanganyika tupo nyuma yako hata watoto sasa wanakutukana, lakini tanganyika inarudi , walikaa na wewe kwenye maoni wakasema serikali tatu labda walikuwa na ulevi sasa umewatoka wanakana walicho sema, nadhani kosa lako ni kuwakumbusha walicho sema kwenye maoni, honera kafulira kwa kwa kuwakumbusha kuwa 601 sio wengi kuzidi 18,000 wakikumbushwa wataamka na kuelewa,
 
Ukweli nilitokwa na machozi kwa maelezo yake aliyowasilisha kafulila,yaani huyu kijana ni hazina kubwa sana,ameeleza kwa umakini,ufasaha,na kwa kujiamini sana hongera sana (Professa )kafulila.
 
Mtaipenda! Inafundisha! Inashawishi! Inaongea ukweli halisi na inaonyesha kuwa 'la kuambiwa changanya na zako'
 
kafulila amewakilisha kundi la watanganyika vizuri sana. Hongera sana kijana mdogo uliyeweza kuwaziba midomo ma pf fake (@kapuya, maghembe na wenzao)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom