Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
We Ben mimi si kiongozi wa hicho chama unanifananisha na viongozi, nimesikia newz magazetini nami nawasilisha kama ilivyo.Mkuu unajua wewe ni uko kwenye kitengo cha uenezi cha vijana hebu andika vizuriNiliwaonya MASALIA mapema kuwa huyu jamaa anaanzisha CHAUMMA huku yeye anaomba msamaha kichinichini huko NCCR-Mageuzi.Baada ya kulipua lile dili la CHAUMMA jamaa aliamua kurudi fasta NCCR-Mageuzi.Kuna siku niliwaambia wana-JF hapa CHAUMMA hawatafanikiwa malengo yao hata iweje.Nia zao chafu za kuivuruga CHADEMA zitawamaliza wao.Na baada ya hapo walainza kumalizana kuanzia upande wa Zanzibar na kanda ya ziwaHii case ya kuunda CHAUMMA huku ukiomba msamaha kwenye chama kingine ni unafiki wa vijana wa wanasia Tanzania hii.Anyway,afadhali ameshtuka kwamba yule mzee wa Tunguri na bingwa wa usaliti alitaka kumuharibia maisha.loh!CC: nice2, kixCC:Rais
Last edited by a moderator: