Acha ujinga ben. Hebu usipotoshe ukweli.
sasa uweke wazi ukweli ni upi??
Acha ujinga ben. Hebu usipotoshe ukweli.
View attachment 87420Mkuu unajua wewe ni uko kwenye kitengo cha uenezi cha vijana hebu andika vizuri
Niliwaonya MASALIA mapema kuwa huyu jamaa anaanzisha CHAUMMA huku yeye anaomba msamaha kichinichini huko NCCR-Mageuzi.
Baada ya kulipua lile dili la CHAUMMA jamaa aliamua kurudi fasta NCCR-Mageuzi.Kuna siku niliwaambia wana-JF hapa CHAUMMA hawatafanikiwa malengo yao hata iweje.Nia zao chafu za kuivuruga CHADEMA zitawamaliza wao.Na baada ya hapo walainza kumalizana kuanzia upande wa Zanzibar na kanda ya ziwa
Hii case ya kuunda CHAUMMA huku ukiomba msamaha kwenye chama kingine ni unafiki wa vijana wa wanasia Tanzania hii.
Anyway,afadhali ameshtuka kwamba yule mzee wa Tunguri na bingwa wa usaliti alitaka kumuharibia maisha.loh!
CC: nice2, kix
CC:Rais
Cha Kikwere. Baba Mwenyekiti- Mkwer'e
Mama M-Nec- Mkwwr'e kwa ndoa
Mtoto M-Nec- Mkwer'e
Mdogo wa Mwenyekiti 1- M-Nec- Mkwer'e
Mdogo wa Mwenyekiti 2-Mnec- Mkwer'e
Mdogo wa mwenyekiti 3- Mkutano mkuu- Mkwer'e
Kafulila ni mzuri sana ktk kujenga hoja ila tatizo ni moja tu kuwa hana msimamo ndio maana akarubuniwa na yule Zitto kukisaliti chama chake, Historia inaonesha kuwa Vijana wote walioweza kurubuniwa na Zitto mwisho wa siku Zitto alibaki salama na wao hawakubaki salama mfano Masalia baada ya kutimuliwa CHADEMA hatukusikia hata Zitto akikohoa bali aliwakandamiza na article yake ya "FUATA MISINGI YA CHAMA NA SIO WATU"
Mwisho naamin Kafulia utakuwa umejifunza sasa tulia ujenge chama ili kuondoa CCM kwa kushirikiana na makamanda wa ukweli CHADEMA KAMA WAKINA machali na mkosamali wanavyofanya kule bungeni.
Kuna yule mtoto kamanda wa chipukizi mbona hujamtaja?
sasa uweke wazi ukweli ni upi??
Mkuu njia ya vijana waongo na wanafiki kisiasa ni fupi sana.Ukisoma post yangu nliyofanya multiple Quotes utaelewa huyu ni nani.Kuna ID nyingine ambayo sikutegemea.Amejichanganya tena.Ha ha.Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Nimesikia katika uchambuzi wa magazeti ya leo startv kuwa Katibu Mkuu wa chama cha NCCR-mageuzi Samwel Ruhuza wamemsamehe Mbunge david Kafulila ili kuimarisha chama na kuepuka jimbo kupotea.
Chanzo: Magazeti ya leo asubuhi (Star tv)
Mkuu wewe si ndo umesomea ualimu wa watoto wenye mtindio wa ubongo pale SEKUCO?We Ben mimi si kiongozi wa hicho chama unanifananisha na viongozi, nimesikia newz magazetini nami nawasilisha kama ilivyo.
Mkuu, na huyo nae tumweke mbali na simu zetu za mkononi?
Nikile chenye mlengo wa kichaga?
Ni pigo kwa Chadema.
endelea na huo mchezo wako muulize LUDO kilichompata? utaumbuka tu very soon.Mkuu unajua wewe ni uko kwenye kitengo cha uenezi cha vijana hebu andika vizuri
Niliwaonya MASALIA mapema kuwa huyu jamaa anaanzisha CHAUMMA huku yeye anaomba msamaha kichinichini huko NCCR-Mageuzi.
Baada ya kulipua lile dili la CHAUMMA jamaa aliamua kurudi fasta NCCR-Mageuzi.Kuna siku niliwaambia wana-JF hapa CHAUMMA hawatafanikiwa malengo yao hata iweje.Nia zao chafu za kuivuruga CHADEMA zitawamaliza wao.Na baada ya hapo walainza kumalizana kuanzia upande wa Zanzibar na kanda ya ziwa
Hii case ya kuunda CHAUMMA huku ukiomba msamaha kwenye chama kingine ni unafiki wa vijana wa wanasia Tanzania hii.
Anyway,afadhali ameshtuka kwamba yule mzee wa Tunguri na bingwa wa usaliti alitaka kumuharibia maisha.loh!
CC: nice2, kix
CC:Rais
Kila binadamu anamapungufu yake, Kafulila kasamehewa baada ya kukiri makosa yake, Mungu amuongoze katika safari yake mpya.
Chama cha upinzani kipo kimoja tu!!! Ukifukuzwa hata uombe msamaha hurudi. Shoza na Yule mwizi wa simu wanakijua hicho chama