David Kafulila asamehewa NCCR-mageuzi

David Kafulila asamehewa NCCR-mageuzi

Hapana mkuu huyu ni yule mgombea Urais ambaye alihama CHADEMA kwa kupinga vijana waliohamia kutoka vyama vingine waaipewe majukumu kwenye M4C. lakini yeye alipohamia NCCR-Mageuzi hakuchukua muda akapewa cheo cha uenezi akaamua kutupilia mbali ajenda yake.

Huyu sio yule mroho wa simu na fedha,ni yule mroho wa vyeo(Kidding) ha ha ha
Bwahahahahaaaaaaaaaa
 
Chama cha upinzani kipo kimoja tu!!! Ukifukuzwa hata uombe msamaha hurudi. Shoza na Yule mwizi wa simu wanakijua hicho chama

Ni kweli ulivyosema chama cha upinzani chenye nguvu kipo kimoja lakini naona siyo vizuri kuwasema vibaya vyama vingine vya upinzani kwani kura hata moja ya mpinzani inahitajika ili kukihakikishia ushindi chama hicho unachokisema kimoja tu cha upinzani.maana kadri unavyoponda wengine ndo wanazidi kujitenga na wewe.
 
Pamoja na mapungufu yake kama binadamu yeyote lakini Ben Saanane ni kichwa kiasi kwamba unazidi kutambua aliwezaje kuwaburuza hao masalia hadi wakasambaratika!


Yaani kawaacha mbali mno! angalia Baba Clara a.k.a mtoto wa mnyonge alivyoumbuliwa humu aibu tupu!
 
Last edited by a moderator:
Alafu Baba Clara bwana hapo kwenye post yake kajipa like!! yaani vichekesho thread unafungua kwa ID nyingine alafu unakuja na ID nyingine ya kutoa comment kwenye thread yako!

Kisandu habari zako bhanaaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Hi Ben, hope you r doing well there. I love your signature.
Mkuu unajua wewe ni uko kwenye kitengo cha uenezi cha vijana hebu andika vizuri


Niliwaonya MASALIA mapema kuwa huyu jamaa anaanzisha CHAUMMA huku yeye anaomba msamaha kichinichini huko NCCR-Mageuzi.

Baada ya kulipua lile dili la CHAUMMA jamaa aliamua kurudi fasta NCCR-Mageuzi.Kuna siku niliwaambia wana-JF hapa CHAUMMA hawatafanikiwa malengo yao hata iweje.Nia zao chafu za kuivuruga CHADEMA zitawamaliza wao.Na baada ya hapo walainza kumalizana kuanzia upande wa Zanzibar na kanda ya ziwa

Hii case ya kuunda CHAUMMA huku ukiomba msamaha kwenye chama kingine ni unafiki wa vijana wa wanasia Tanzania hii.

Anyway,afadhali ameshtuka kwamba yule mzee wa Tunguri na bingwa wa usaliti alitaka kumuharibia maisha.loh!

CC: nice2, kix

CC:Rais
 
Hiyo ni habari nzuri sana kwani mtua aombaye msamaha ni vyema akasamehewa kwani kuomba msamaha tu ni kuonyesha majuto ya makosa uliyoyafanya. Cha ajabu na cha kusikitisha ni kuona baadhi ya watu humu jukwaani wao hawatambui suala la msamaha hata kidogo,na wanaonyesha wazi kabisa kuwa hawawezi kusamehe wala katu na wala kinyongo kwao hakiishi,maana utawaona kwa kila uzi watakaochangia lazima washambulie mtu/watu au kundi fulani ambalo lilifanya makosa huko nyuma na sasa ama amesamehewa/wamesamehewa au wameshapata adhabu. Hali hii ya wanasiasa vijana (ama wanaojiita wanasiasa maana siasa si chuki wala kinyongo bali ni uvumilivu,ustahimilivu na kusamehe)inanikumbusha miaka mingi ya nyuma ambapo mwanasiasa mmoja kijana wa enzi hizo alikuwa anasifika kwa kuwa na kinyongo,chuki na kisasi ambaye ameshika madaraka ya juu na hali hiyo imeendelea kuwagharimu watu wengi sana. Vijana badilikeni,aombaye msamaha na asamehewe.
 
Yaani Nilikuwa nampenda sana mzee wa Tunguri lakini hili la usaliti lilinibadilisha mawazo. Mapambano bado yanaendelea, siju sasa hivi yukoje, bado anataka u-Mr Dhaifu??

Mkuu unajua wewe ni uko kwenye kitengo cha uenezi cha vijana hebu andika vizuri


Niliwaonya MASALIA mapema kuwa huyu jamaa anaanzisha CHAUMMA huku yeye anaomba msamaha kichinichini huko NCCR-Mageuzi.

Baada ya kulipua lile dili la CHAUMMA jamaa aliamua kurudi fasta NCCR-Mageuzi.Kuna siku niliwaambia wana-JF hapa CHAUMMA hawatafanikiwa malengo yao hata iweje.Nia zao chafu za kuivuruga CHADEMA zitawamaliza wao.Na baada ya hapo walainza kumalizana kuanzia upande wa Zanzibar na kanda ya ziwa

Hii case ya kuunda CHAUMMA huku ukiomba msamaha kwenye chama kingine ni unafiki wa vijana wa wanasia Tanzania hii.

Anyway,afadhali ameshtuka kwamba yule mzee wa Tunguri na bingwa wa usaliti alitaka kumuharibia maisha.loh!

CC: nice2, kix

CC:Rais
 
Back
Top Bottom