David Cameron adai Uingereza ni Taifa la Kikristo

David Cameron adai Uingereza ni Taifa la Kikristo

Ally Kombo

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
11,429
Reaction score
2,653
Waziri mkuu wa Uingereza amekaririwa na BBC kuwa Waingereza wasione shida kujitambulisha kuwa wao ni Taifa la Kikristo na wajivunie yale yote (values) yatokanayo na Ukristo !
 
ni kweli. tena wakrito wenyewe ni anglicana. ova
 
yuko sahihi.ushoga nao ni value ya kikRisto ndo mana anajitahd kuhakikisha ushoga kama value unaenea duniani kote na iwe ni haki.
 
Waziri mkuu wa Uingereza amekaririwa na BBC kuwa Waingereza wasione shida kujitambulisha kuwa wao ni Taifa la Kikristo na wajivunie yale yote (values) yatokanayo na Ukristo !


Ni sawa tu akisema hivyo, hakuna tofauti na Saudi or Iran kujiita nchi ya Kiislamu.
 
lazima waone aibu kujitambulisha kwani ni wao pekee walioamua kuingiza ushoga kwenye dini yao.
 
safi tu, kila nchi ina misimamo yake, indonesia ni taifa la kiislam, i dont see anything wrong, unless tunataka kuleta povu lisilo na msingi
 
safi tu, kila nchi ina misimamo yake, indonesia ni taifa la kiislam, i dont see anything wrong, unless tunataka kuleta povu lisilo na msingi
Sasa values za kikristo mbona analazimisha wengine wazifanye? tena kwa ubabe!
 
ni values za kiislam na nivalues za kiilan. ova
Hivyo ni values za Kiislaam na Kiiran zinazotekelezwa na kutetewa na Wakristo wa Uingereza! au ?! ............... inaingia akilini ?
 
Ni kweli kabisa, na hakuna tofauti na taifa la Zambia
Wazambia moja ya values zao ni wanaume kutotahiri, je ni haki kulazimisha wanaotahiri waache ? Tena kwa vitisho !
 
Back
Top Bottom