PastorPetro
Senior Member
- Feb 25, 2008
- 189
- 35
Navyosikia ni kweli Balali amefariki Washington, USA. Serikali itatangaza kifo chake kesho. Ngojeni mtasikia tu! Lazima kakolimbwa huyo!
Jamani shangilieni kwani Mungu anatuletea ukombozi. Naona majeneza zaidi, naye fisadi mkuu analia kinafiki akijua naye lake laja.
Ona huyu naye....keshaanza kuwaza ulabu tu....
Halafu huyu Balali si alishakufa muda mrefu.....sasa big deal nini..?
Sasa na wewe Nguruwe..Kwanini usitusadie kunusa?
Time to move on!
Sad but true (may be?)........