Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Umemtuma #baqzazi Mtoto halali na hela utafikiri zitafika Karucee nakumiss mbaya aise
Uko salama wewe
akutukanaye hakuchagulii tusi, Mr Rocky nimekumaindi
25,000 kwa kutumia kilimanjaro botiWakuu nani anafahamu nauli ya kwenda Unguja kutokea Dar?
Karucee mkuu inabidi atueleze iweje apotee kiasi hicho kawa adimu kama Excel au ana lake jambo na Tized?? wanahare the common interst maana wote wamepote ghafal jamvini nw Karucee karudi utamuona Tized nae muda si mrefu anarudiNiko salama kabisa dear
Miss you more Tized ameishiwa bundle kwa sasa anatumia kinokia torch Ntuzu bado anamfuatilia yule simba aliyetaka kumtafuna kule porini anataka kulipiza kisasi Mndengereko mhindi wake siku hizi anamchunga hampi hata nafasi ya kuingia JF gwijimimi mhhhh:shock::shock::shock:
Niko salama kabisa dear
Miss you more Tized ameishiwa bundle kwa sasa anatumia kinokia torch Ntuzu bado anamfuatilia yule simba aliyetaka kumtafuna kule porini anataka kulipiza kisasi Mndengereko mhindi wake siku hizi anamchunga hampi hata nafasi ya kuingia JF gwijimimi mhhhh:shock::shock::shock:
sure mkuu ngoja tuwaache.diamond huwa anasema tuwaache wafanyaje???....Mkuu Mndengereko hawa ni waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba vyao huyu Karucee nna Tized mambo yao yaache tuu mkuu
Mkuu Mtoto halali na hela usimind mkuu ni utani tuu mimi na wewe pamoja sana mkuu
hahahaha. lol. Ngoja waje. Mi simo aisee:rapture:Niko salama kabisa dear
Miss you more Tized ameishiwa bundle kwa sasa anatumia kinokia torch Ntuzu bado anamfuatilia yule simba aliyetaka kumtafuna kule porini anataka kulipiza kisasi Mndengereko mhindi wake siku hizi anamchunga hampi hata nafasi ya kuingia JF gwijimimi mhhhh:shock::shock::shock:
Salama kabisa mkuu Ntuzu
Long time sana aise sijakusikia
Naamini yote ni mema na Mungu anatangulia katika yote
Hahahahahah simba wacha tuu ni shidaaa
Mkuu Mndengereko hawa ni waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba vyao huyu Karucee nna Tized mambo yao yaache tuu mkuu
sure mkuu ngoja tuwaache.diamond huwa anasema tuwaache wafanyaje???....
Mamy Karucee mi nipo sn swahiba wng!
utachezea makonzi hivyooo. i may be short but i can run!
.
umeamua unitishie simbma wa kuchora eehh!!