Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Fursa zipo kila mahali , kinachotakiwa ni jicho tu la kuziona na kuzifanyia kazi..baada ya hapo unatulia na kula hela...
Date my family Tanzania ipo nchi zingine pia kwa majina ya hizo nchi.. Ni mwanzo wa enzi mpya za kutafuta wenza...kwa njia ya kujitangaza wazi... Hapo mwanzo haya mambo ni mashkolo mageni kabisa.. Utandawazi umerahisisha mengi
Date my family Tanzania ni kitu chema kwa watufutao wenza lakini wengi hawajui ama hawana uzoefu ama hawako makini kwa kile wakitakacho...maswali wanayouliza ni ya kawaida sana
Mahusiano yako ya mwisho yalikuwaje?
Una mtoto?/ watoto?
Unapendelea nini
Hupendi nini?
Ukakasi
Vigezo navyo mmh kila mtu na ladha zake..lakini kubwa na baya lenye ukakasi ni urefu kwenda chini hili nimeliona kwa wadada karibia wote ...hawataki wanaume wafupi vijeba.. Hii ni kasoro kubwa sana..hao wafupi mnataka wawaoe kina nani?
Mabrazeni nao swali linalojirudia rudia sana ni mdada kuwa na mtoto...hapa kuna hasi na chanya
Mdada kutokuwa na mtoto kuna maana kuwa kajitunza sana(haya ndio mawazo ya vijana wengi) lakini je ndio uhalisia?
Kuna ambao hawana watoto lakini wameshatoa mimba sana...
Kuna ambao hawana watoto pengine hawana uzazi , ni tasa..!!
Kuna ambao hawana watoto ni warukwa ukuta maarufu
Hili la mtoto lina ukakasi sana...!!!!
Uelewa duni....
Zaidi ya vigezo vya kawaida lakini wengi hawaulizi
Magonjwa ya kurithi kwenye familia
Laana za kifamilia/ koo
Haiba ya familia, mitazamo na fikra chanya
Wengi wake kwa waume wanapenda wenza wenye hofu ya Mungu...je kuwa na hofu ya mungu kunatosha kupata mwenza bora.?
Kazi ..wengi wanaulizia kazi ya mhusikaa..pengine hili ni muhimu lakini si lazima..kuna kazi za mkataba..ukiisha umeisha..
Matumizi ya vilevi nk
Vionjo
Je date my family ni kutaniko la ma x? Maana wote hakuna ambaye hana background...wote walishawahi kuwa na wenza..na wengi hujionesha kuwa wao hawakuwa wakosa kwenye mahusiano yaliyovunjika...
Nitarejea...
Date my family Tanzania ipo nchi zingine pia kwa majina ya hizo nchi.. Ni mwanzo wa enzi mpya za kutafuta wenza...kwa njia ya kujitangaza wazi... Hapo mwanzo haya mambo ni mashkolo mageni kabisa.. Utandawazi umerahisisha mengi
Date my family Tanzania ni kitu chema kwa watufutao wenza lakini wengi hawajui ama hawana uzoefu ama hawako makini kwa kile wakitakacho...maswali wanayouliza ni ya kawaida sana
Mahusiano yako ya mwisho yalikuwaje?
Una mtoto?/ watoto?
Unapendelea nini
Hupendi nini?
Ukakasi
Vigezo navyo mmh kila mtu na ladha zake..lakini kubwa na baya lenye ukakasi ni urefu kwenda chini hili nimeliona kwa wadada karibia wote ...hawataki wanaume wafupi vijeba.. Hii ni kasoro kubwa sana..hao wafupi mnataka wawaoe kina nani?
Mabrazeni nao swali linalojirudia rudia sana ni mdada kuwa na mtoto...hapa kuna hasi na chanya
Mdada kutokuwa na mtoto kuna maana kuwa kajitunza sana(haya ndio mawazo ya vijana wengi) lakini je ndio uhalisia?
Kuna ambao hawana watoto lakini wameshatoa mimba sana...
Kuna ambao hawana watoto pengine hawana uzazi , ni tasa..!!
Kuna ambao hawana watoto ni warukwa ukuta maarufu
Hili la mtoto lina ukakasi sana...!!!!
Uelewa duni....
Zaidi ya vigezo vya kawaida lakini wengi hawaulizi
Magonjwa ya kurithi kwenye familia
Laana za kifamilia/ koo
Haiba ya familia, mitazamo na fikra chanya
Wengi wake kwa waume wanapenda wenza wenye hofu ya Mungu...je kuwa na hofu ya mungu kunatosha kupata mwenza bora.?
Kazi ..wengi wanaulizia kazi ya mhusikaa..pengine hili ni muhimu lakini si lazima..kuna kazi za mkataba..ukiisha umeisha..
Matumizi ya vilevi nk
Vionjo
Je date my family ni kutaniko la ma x? Maana wote hakuna ambaye hana background...wote walishawahi kuwa na wenza..na wengi hujionesha kuwa wao hawakuwa wakosa kwenye mahusiano yaliyovunjika...
Nitarejea...