Data Unazo clear kwenye simu zinakwenda wapi?

The Businessman

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
7,404
9,234
Mara nyingi simu yangu inapoleta noticification ya phone storage space is getting low huwa naclear data baadhi ya application, swali je huwa zinakwenda wapi?
 
Kwenye main server ya kampuni husika na pia kwenye satelite hko angani.

Yaani humu duniani hakuna siri ati unasema nime delete hawatapata ushahidi wa msg au picture, wataalam wakiamua wanenda hasi huko kwenye seva wanafukunyua msg na calls zako zote wanakutumia.

Labda uharibu main server na satelite huko angani zinazopeleka mawimbi ya mawasiliano. Si mtaalamu sana wa mambo ya IT ila huo ndo ujuzi na ufahamu nilionao juu ya hilo.
 
Kwenye main server ya kampuni husika na pia kwenye satelite hko angani.

Yaani humu duniani hakuna siri ati unasema nime delete hawatapata ushahidi wa msg au picture, wataalam wakiamua wanenda hasi huko kwenye seva wanafukunyua msg na calls zako zote wanakutumia.

Labda uharibu main server na satelite huko angani zinazopeleka mawimbi ya mawasiliano. Si mtaalamu sana wa mambo ya IT ila huo ndo ujuzi na ufahamu nilionao juu ya hilo.

vp kwa camera digital au vifaa vingine kama mp3 player,flash
 
vp kwa camera digital au vifaa vingine kama mp3 player,flash

Hiyo technolojia hapo sifahamu inafanyaje kwa taswira ambazo zipo kwenye kifaa na hazina uhusiano na satelite au seva za kampuni za simu.

Labda kama watengenezaji wa hivi vifaa wameweka connection kati ya vifaa hivo na seva bila kuweka wazi ili kwamba taarifa au tasira zinazofutwa hapo basi zinarudi au zinaacha nakala kwenye satelite............ sina hakika

Ukiwaza sana unaweza sema ni uchawi wa kizungu.
 
Kwenye smartphone za Samsung huwa kuna kitu kama jicho.Huwa lina one kana mara moja moja liki toke za na kupotea eneo la juu la screen Kwa anayejua lile ni nini? .
Kuna mtu aliniambia kuwa ni camera ya siri.
I napiga picha na kuzirusha kwenye main server ya Samsung. Ni kweli?
 
Kwenye smartphone za Samsung huwa kuna kitu kama jicho.Huwa lina one kana mara moja moja liki toke za na kupotea eneo la juu la screen Kwa anayejua lile ni nini? .
Kuna mtu aliniambia kuwa ni camera ya siri.
I napiga picha na kuzirusha kwenye main server ya Samsung. Ni kweli?

ni smart stay, kuna sensor ipo kwenye simu ukikodolea macho kioo hakijizimi na kutoa usumbufu wa kukiwasha pale kinapojizima mwanga
 
Haziendi popote. Bado zinabaki kwenye simu yako. Ni vile tu zinakuwa katika mfumo ambao simu haiwezi kuzisoma. Ila ukipata software sahihi unazirudisha zote.
 
Data kitaalamu zinakua stored in binary form, ones or zeros (1's,0's),on or off,Actualy,hufuti data kwenye digital camera,HDD nk,bali inakua flaged(marked) as free,ambapo uko mbeleni inaweza kuja kuwa overwritten na data nyingine.
Nikisungumzia zaidi mechanisim ya disk drives kama HDD etc, zile bit of data zinakua arranged in concentric, circular paths zinazoitwa 'tracks',kila track inavunjwa katika sehemu ndogo ndogo zinazoitwa 'sectors',sasa kuna kipart cha disk drive kinastore map za sectors zilizotumika na zilizo free,kwenye os kama ,(linux hiyo map inaitwa 'ext'(extended file sytem) na windows inaitwa FAT(file allocation table) au MFT(master file table){for NTFS}),hizi sector zinakua zimebebana,'imagine chapati zilizobebana'.Sasa zikiwa overwritten sana zina evaporate tu(hapa sijui zinaenda wapi),so kwamfano ukifuta file na ukawahi kurecovery,data zako unazipata kama kawa.
 
Data kitaalamu zinakua stored in binary form, ones or zeros (1's,0's),on or off,Actualy,hufuti data kwenye digital camera,HDD nk,bali inakua flaged(marked) as free,ambapo uko mbeleni inaweza kuja kuwa overwritten na data nyingine.
Nikisungumzia zaidi mechanisim ya disk drives kama HDD etc, zile bit of data zinakua arranged in concentric, circular paths zinazoitwa 'tracks',kila track inavunjwa katika sehemu ndogo ndogo zinazoitwa 'sectors',sasa kuna kipart cha disk drive kinastore map za sectors zilizotumika na zilizo free,kwenye os kama ,(linux hiyo map inaitwa 'ext'(extended file sytem) na windows inaitwa FAT(file allocation table) au MFT(master file table){for NTFS}),hizi sector zinakua zimebebana,'imagine chapati zilizobebana'.Sasa zikiwa overwritten sana zina evaporate tu(hapa sijui zinaenda wapi),so kwamfano ukifuta file na ukawahi kurecovery,data zako unazipata kama kawa.
Shukrani sana mkuu
 
Back
Top Bottom