Alafu msimbazi polisi, si ungeingia tu hapo utoe taarifa?
Hawa kwenye mabasi kuna wakati kutokana na uwingi wa watu huwa wanazikusanya mkononi badala ya kusipitisha kwenye bar code reader alafu mwisho wa siku hawazipitishi tena. Inaonekana kuna michezo midogo midogo inaendelea.