miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,409
- 11,053
Mbona hata maji ghaliBasi hujafuatilia hii riwaya, km hakuna amani baada ya Mwendazake JF haikua hivi, Facebook, Twitter au chungulia Ukraine, DRC, Afghanistan, Msumbiji.
Kuhusu Bei NI kweli kichefuchefu, lkn km soda Bei juu kunywa maji, km petrol tufuta baiskeli, lkn sio kuchinjana na viroba kukutwa Ruvu juu
Mkute ni buyobe huyo2 maana si rahisi kuna wakati alilalamika kuibiwa story halaf aje kucopy hukuBuyobe si ndiye anakopi? Angalia kaanza kuposti lini kisha linganisha na tarehe ya mwanzo wa thread hii.
Huyo mpuuzi uliyemtaja ukimkosoa Tu kwamba amecopy huku jf anakulima block Muda huo huo,Acheni kumwendekeza,yeye ndy anacopy hapa jf alafu anawauzia huko telegramFortunatus Buyobe amekupa kibali cha kuandika hii story hapa ?
Kuna watu tunalipia hizi story ujue.
Nini kigumu kueleweka kwenye huu uzi? Ni umbea wa kuongelea watu tu.
Mpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wakeMkute ni buyobe huyo2 maana si rahisi kuna wakati alilalamika kuibiwa story halaf aje kucopy hukume nimeshajiongeza mkuu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
My yoga nmekumissMpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wake
Tena this time kwa script iliyopo atajivunia buku buku nyingi sanaaa! Yaani sanàaaaa!
Ila inauma nyie!! Naivi ndo ID za kujificha hizi basi anjiona mjanjaaaa!!
Sema aliwi mtu kichwa kizembe
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Asanteee my dear! Ila mie Nipo mbona! Tena Wakutoshaa!! Niko kwenye maandalizi ya sensa ya watu na makazi
Yani huu mwandiko ni wa Kigogo2014 mtupu yaniGuys, kwanza am very sorry kwa late replies!! kwa mliofuatilia this story I am really disappointed na baadhi chapter or pages kutoweka!!
Zilibaki page mbili kwenye the lost pages in the late CEO diary na chapter moja ya mwisho kumaliza the whole story!!
Kuna mambo kadha wa kadha yali iingiliana sana hapa kati!! Kuanzia last thursday mpaka jana, mambo yalikuwa mambo kidogo!!
But thanks to God bado tunapumua!! Tusicatch feelings sana, this is just a story
Ila na confirm mwenyewe kuwa ntabandika all pages zoote zilizobaki hapa na kufunga this story siku ya jumatano!! Hope tulianza pamoja tunaliza pamoja
From behind the scene, Your lovely friend Yoga!!
Bado nipo nipo sanaaa yaani!!
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Mafuta bei juu tuache kutumia mafuta.Basi hujafuatilia hii riwaya, km hakuna amani baada ya Mwendazake JF haikua hivi, Facebook, Twitter au chungulia Ukraine, DRC, Afghanistan, Msumbiji.
Kuhusu Bei NI kweli kichefuchefu, lkn km soda Bei juu kunywa maji, km petrol tufuta baiskeli, lkn sio kuchinjana na viroba kukutwa Ruvu juu
Weeeee!! JamaniYani huu mwandiko ni wa Kigogo2014 mtupu yani
Zele kashinda bana.Niambie!Vita inaendeleaje?
Unataka kumtafutia mwenzako balaaMpeni pole!! Asubiri jumatano nikisha post akopy tena akawalipishe watu wake
Tena this time kwa script iliyopo atajivunia buku buku nyingi sanaaa! Yaani sanàaaaa!
Ila inauma nyie!! Naivi ndo ID za kujificha hizi basi anjiona mjanjaaaa!!
Sema aliwi mtu kichwa kizembe
Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Hana akili za kua active kwenye mtandao makini kama jf.Mange...??
One day yes, we will be on the beat too.Wewe yatima tulia. Ameshadedi.. born town on the beat...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ukiamini au laah ni huna umuhimu wowote humuKwamba hao marais wanauwawa kwa kupewa chai na mgeni aliyeshuka na private jet na hajulikani. Na sumu iliyotiwa na kutumwa kwenye documents? Wanakufa ila hawafi kitoto hivi. Nilisoma sikumalizia kipande cha nne nikaishia hapo sijui wapi alisema ni fiction
NaiombaNilikuwa mjanja nilicopy zote, nilijua zingenyofolewa
Tusimpe law lawama ila atoe shukrani kwa JfView attachment 2177130
Jamaa huyu kama yupo humu JF anatia aibu sana kajiwekea CODES zake hata haziendani
nimemwambia aache kuhamisha Riwaya ya mwenzakekwa copy & paste sijui atani BLOCK hata km yupo humu ni aibu kwa mwanamume
Kukera ndiyo nini kwa Kingereza?Unakukera.?