Dark days 17/03/20

Umekua mtu wa vitisho siku hizi.

Sukari imepanda !?
 
Siku hizi presha iko juu,
Vyakula unakula vya kuchangua,
Na hutaki kupikiwa na na watu wa......
Nyota kubwa inaenda kuzimika na nyota dogo kuwa kubwa
 
Siku hizi presha iko juu,
Vyakula unakula vya kuchangua,
Na hutaki kupikiwa na na watu wa......
Nyota kubwa inaenda kuzimika na nyota dogo kuwa kubwa
Una maanisha nini kumwambia hivo kwamba yeye ndio yule mnae mtuhumu kuwa tuma ma slayer kuslaying maraia wa kitaa...kwa manati ta mzungu au ?
Em tujuzane hapo...bwasheee
 
Tulichelewa sana kumshtukia 😀
 
Ninachokiona hapa mwisho wa siku yoga ataachana na hii post yake maana comment za wadau zimejaa makasiriko na mizodoano zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…