M Mr-Africa Member Sep 25, 2012 23 3 Oct 17, 2012 #1 mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin
Kertel JF-Expert Member May 11, 2012 5,269 4,973 Oct 17, 2012 #3 Unawashwa kalio,hiyo ni dalili kuwa utakunwa muda si mrefu
Asprin JF-Expert Member Mar 8, 2008 68,012 95,358 Oct 17, 2012 #4 "Dariri" ndio dalili ya mvua ni mawingu, au?
S SHERRIE Member Mar 22, 2012 76 19 Oct 17, 2012 #5 Asprin said: "Dariri" ndio dalili ya mvua ni mawingu, au? Click to expand... teh teh teh, mi nilijua ni matamshi tu kumbe hadi kuandika? Hiyo itakuwa ni dalili ya kutokea pande zile za "geshi ra porishi"
Asprin said: "Dariri" ndio dalili ya mvua ni mawingu, au? Click to expand... teh teh teh, mi nilijua ni matamshi tu kumbe hadi kuandika? Hiyo itakuwa ni dalili ya kutokea pande zile za "geshi ra porishi"
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Oct 17, 2012 #6 Mr-Africa said: mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin Click to expand... Kalio la mwanamke au la mwanaume?
Mr-Africa said: mkono ukikuwasha n dariri ya kupata pesa,na kalio likikuwasha n dariri ya nin Click to expand... Kalio la mwanamke au la mwanaume?
Bishop Hiluka JF-Expert Member Aug 12, 2011 7,140 14,678 Oct 17, 2012 #8 Mmh, kwani ulipowashwa nini kilitokea?...
A aduwilly JF-Expert Member Mar 11, 2009 1,176 305 Oct 18, 2012 #9 kwa huwa siyo kweli kuwa mkono ukiwasha ni dalili ya kupata pesa, then kuwashwa kwa kalio haku-imply chochote kile
kwa huwa siyo kweli kuwa mkono ukiwasha ni dalili ya kupata pesa, then kuwashwa kwa kalio haku-imply chochote kile