Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Na wewe upo kwenye haya mambo mkuu?
.
Ahsante.
Hongera... Ushatengeneza project au ndo upo njiani kuelekea huko?
Mkuu mbona umetuacha solemba!Leo saa 3 usiku mzee.Kaa tayari
Mkuu ludi kweny uzi server zinapoa...😂Mods fanyeni kama mnauweka huu uzi jukwa lolote linalofaa na content za huu uzi ukiacha hili
Usipotee tena mkurugenziUzi utaendelea wazee baada ya mapumziko marefu