byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 513
- 1,141
Hili daraja sasa limeshaanza kuwa kero, Kigamboni inakua watu wanaongezeka, magari yanaongezeka lakini daraja gate out na gate in ni zile zile, na zinazidiwa sasa.
Imefika wakati foleni inajaa upande wa magari yanayotoka mjini kuingia kigamboni foleni inaanzia mpaka kwenye daraja lenyewe.
NSSF mnatafakari nini katika kukabili hili ongezeko kubwa la watu? Ongezeko la magari na vyombo vingine vinavyotegemea hii njia?
Muda wa hizi foleni, Watu wanakuwa wamechoka wametoka makazini lakini hapa anaweza maliza nusu saa nzima kupenya penya kuja gate out.
Hili nalo mkalitizame
Imefika wakati foleni inajaa upande wa magari yanayotoka mjini kuingia kigamboni foleni inaanzia mpaka kwenye daraja lenyewe.
NSSF mnatafakari nini katika kukabili hili ongezeko kubwa la watu? Ongezeko la magari na vyombo vingine vinavyotegemea hii njia?
Muda wa hizi foleni, Watu wanakuwa wamechoka wametoka makazini lakini hapa anaweza maliza nusu saa nzima kupenya penya kuja gate out.
Hili nalo mkalitizame