Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Habari zenu wakuu,..
Ni daraja la Mzinga huko Mbagala Kongowe,.
Hili ni daraja la pili ukitoa lile la bunju nalo lililovunjika leo, pia daraja la Jangwani pia lipo hatarini kuvunjika kutokana hizi mvua zinavyozidi kunyesha,.
Serikali inabidi kufanya la ziada juu ya ujenzi wa miundo hii muhimu!!
Source: Clouds fm
Inawezekana chuki zinafanya watu wawe wajinga... mafuriko ni natural disaster.. mahala popote duniani mafiriko huleta athari kwa miundombinu... haihusiani na ujenzi chini ya viwango
Yaani leo mke wangu kapata shida sana tangia mchana alikuwa anakuja nyumbani alikwama mlimani pale kongowe baada ya kupita anafika mzinga anaambiwa hamna njia daraja limebomoka hapo tayari saa 11 jioni anageuza gari kurudi mbagala anakutana na foleni ya mliman tena, kapita ikabidi aache gari mbagala sasa hivi ndo anaingia posta apande panton avuke npo ng'ambo namsubiria kigamboni, yaani leo tumepatikanika tuombeeni jamani!
Yaani leo mke wangu kapata shida sana tangia mchana alikuwa anakuja nyumbani alikwama mlimani pale kongowe baada ya kupita anafika mzinga anaambiwa hamna njia daraja limebomoka hapo tayari saa 11 jioni anageuza gari kurudi mbagala anakutana na foleni ya mliman tena, kapita ikabidi aache gari mbagala sasa hivi ndo anaingia posta apande panton avuke npo ng'ambo namsubiria kigamboni, yaani leo tumepatikanika tuombeeni jamani!
Na la tabata pia limekatika,Yani ni msimu wa majanga kwa kwenda mbele
Wabunge 620 wa bunge la katiba X siku 90 X shs 300,000 kwa siku ni sawa na tshs billioni 16.8. Hizi ni sawa na barabara ya lami ya km ngapi?
Yaani leo mke wangu kapata shida sana tangia mchana alikuwa anakuja nyumbani alikwama mlimani pale kongowe baada ya kupita anafika mzinga anaambiwa hamna njia daraja limebomoka hapo tayari saa 11 jioni anageuza gari kurudi mbagala anakutana na foleni ya mliman tena, kapita ikabidi aache gari mbagala sasa hivi ndo anaingia posta apande panton avuke npo ng'ambo namsubiria kigamboni, yaani leo tumepatikanika tuombeeni jamani!
Bwana awasaidie
Wabunge 620 wa bunge la katiba X siku 90 X shs 300,000 kwa siku ni sawa na tshs billioni 16.8. Hizi ni sawa na barabara ya lami ya km ngapi?
du.poleni sana inabidi mpitie kigamboni
Yavunjike yote tuu...Hata lilejipya la juu la Kigamboni...