LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
Hili daraja ndio limeongeza shida asubuhi hii foleni imefika hadi Sokota kule, najiuliza liliwekwa maalum kwa ajili ya wanaotoka airport ili wawahi mjini au ni kwa wote maana kipindi hamna hili daraja foleni ilikuwa inatembea lakini kwa sasa ni majanga zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app