Daraja la Kigamboni kuzinduliwa hivi karibuni

Daraja la Kigamboni kuzinduliwa hivi karibuni

juzi dau alinipigia simu.., kaniambia limekamilika kwa 75%

IMG_0158.jpg

MKuu za kuambiwa changanya na za kwako!!! tafuta muda upate nafasi ya kujionea hilo daraja lilipo ndipo useme pia kama litafunguliwa mwaka huu!! hizo picha ni kipande tu cha mwanzoni.

ni kweli daraja limepiga hatua, lakini sidhani kama mwaka huu litaisha!!!
 
Kama akili yake ipo limited ulimpa like ya nini? Acha hizo wewe,ukweli ni kwamba Dau hawezi kuajiri mtu yeyote pale nssf labda nyumbani kwake

nafikiri kuna kitu mnacho dhidi ya Dr Dau......kauli yako inaonyesha hivyo!
 
again?,yeah probably my brain is limited(according to you),but what about you,...u don`t even understand....eti kawaajiri...maewaajiri familia yako labda

keep proving me right!! your brain is limited thats why you couldnt read between the line what i meant by saying 'kawaajiri hao'
 
keep proving me right!! your brain is limited thats why you couldnt read between the line what i meant by saying 'kawaajiri hao'
Dau ni mjomba wako..? nauliza tu.., si nia mbaya hata kidogo..
 
hatuna hata urafiki achilia mbali undugu.
Okay poa.., ila siku nyingine akienda kwenye shughuli za kiserikali avae mavazi rasmi ya ofisi, sio msikitini pale. Na pia afuate kanuni za usalama sehemu za ujenzi.., akidondokewa na nondo pale kichwani atamlaumu nani?! haoni wenzake wote wamevaa.., hata Anne makinda amevaa.
 
Okay poa.., ila siku nyingine akienda kwenye shughuli za kiserikali avae mavazi rasmi ya ofisi, sio msikitini pale. Na pia afuate kanuni za usalama sehemu za ujenzi.., akidondokewa na nondo pale kichwani atamlaumu nani?! haoni wenzake wote wamevaa.., hata Anne makinda amevaa.

point yangu kubwa ilikuwa.........wanaotakiwa wamwambie avae safety gear ni juniors wake na jinsi tunavyofanya kazi kibongobongo huwezi kumwambia boss wako avue kibaraghashia haswa boss mwenyewe akiwa na misimamo kama Dr Dau ndio kabisaaa!
 
point yangu kubwa ilikuwa.........wanaotakiwa wamwambie avae safety gear ni juniors wake na jinsi tunavyofanya kazi kibongobongo huwezi kumwambia boss wako avue kibaraghashia haswa boss mwenyewe akiwa na misimamo kama Dr Dau ndio kabisaaa!
Excuses are for loosers, yeye kama hajui taratibu za usalama sehemu za ujenzi ilibidi hata ajiulize tu, hivi huyu Anne Makinda na wenzake wanakichaa au..?! wamevaa madudu gani huko kichwani..?! Hapo ameonyesha unnecessary arrogance, hakuna lingine na hapa hana utetezi.
 
Excuses are for loosers, yeye kama hajui taratibu za usalama sehemu za ujenzi ilibidi hata ajiulize tu, hivi huyu Anne Makinda na wenzake wanakichaa au..?! wamevaa madudu gani huko kichwani..?! Hapo ameonyesha unnecessary arrogance, hakuna lingine na hapa hana utetezi.

unafikiri hajui kama anatakiwa kuvaa safety gears??!! anajua sana na kaamua kutovaa.
 
unafikiri hajui kama anatakiwa kuvaa safety gears??!! anajua sana na kaamua kutovaa.
yes.., and thats what we call ARROGANCE. its not a good character for an individual to be branded with.
 
Hofu yangu hivi ni yale ambayo meli kubwa ikipita linafunguliwa? Na huu umeme wetu wa kijiko? Msaada wadau nijuzeni tu.
Daraji hii iko Kurasini pale TEC/Baraza la Maaskofu na inavukia Vijibweni. Huko hakuna meli zinazoingia wala kutoka na hilo daraja si la umeme na wala alifunguki na kufunga ni sawa na lile la Benjamin Mkapa au Malagarasi.
 
Litakuwa kama yale majengo ya PSPF Moshi ambapo watu walihoji kulikoni hiyo haraka ya uzinduzi!

By the way, huyo mzee kwenye picha mwenye kanzu na kibaragashia bila hata kuvaa safety gear kama wenzake ni nani!?


Hard hat yake amempa huyo jamaa wa nyuma amshikie...
 
Hajalishi uwe nani Kuvaa PPE eneo la site ni lazima kwa ajili ya usalama wako. Hilo lilikuwa ni wajibu wa safety officer kumkumbusha Kuvaa hiyo kofia
 
Hajalishi uwe nani Kuvaa PPE eneo la site ni lazima kwa ajili ya usalama wako. Hilo lilikuwa ni wajibu wa safety officer kumkumbusha Kuvaa hiyo kofia
Na hakika ametembelea site nyingi, utaratibu anaufahamu.., si lazime kukumbushwa.., inamaana Makinda alikumbushwa ila yeye wakamsahau?! Anatoa mfano mbaya sana.
 
Mambo yameanza kuwiva..!! wera wera..!!! bado zile suspension cables sasa zianze kutundikwa hapo.., DAR OYEEEE!!!!

DSC_0532.JPG
 
Back
Top Bottom