Kwa style ya huyo bwashee hapo naona hata nssf kashaigeuza msikiti.kuswali na kufturu hapo hapo.
Huyo ndio kawaajiri wanaojenga hilo daraja!!! Hamna anaeweza kumwambua avue hio baraghashia! Hamna cha health and safety wala nini!
Mambo yameanza kuwiva..!! wera wera..!!! bado zile suspension cables sasa zianze kutundikwa hapo.., DAR OYEEEE!!!!
![]()
kwani usalama ni kofia peke yake, mbona wote hawana satety shoes{buti} wamevaa viatu vya sikukuu, msiangalie upande mmoja tu, mkuu usalama sehemu za ujenzi sio kichwa tu,Okay poa.., ila siku nyingine akienda kwenye shughuli za kiserikali avae mavazi rasmi ya ofisi, sio msikitini pale. Na pia afuate kanuni za usalama sehemu za ujenzi.., akidondokewa na nondo pale kichwani atamlaumu nani?! haoni wenzake wote wamevaa.., hata Anne makinda amevaa.
Hofu yangu hivi ni yale ambayo meli kubwa ikipita linafunguliwa? Na huu umeme wetu wa kijiko? Msaada wadau nijuzeni tu.
wale wa kuponda kila kitu hawakosi cha kusema....afadhali daraja likamilike tuepuke karaha ya pantoni.
Gap dogo sna limebaki...
![]()
Afadhari, itapendezesha mji
Serikali ina hisa asilimia 40% (Japo sidhani kama wamechangia kikamilifu hizo 40%). By the way hata angejenga mjomba wako.., bado kuna running costs, hivyo utalipia tu.Hilo daraja ni ujenzi wa NSsf, hapo litakapo maliza itakuwa ndio kitega uchumi wao kuvuka sio bure, kwanini serikali imeshindwa kufanya ujenzi huu badala ya kuwapa NSsf? Bado tunasonga kwenye umasikini, tutaendelea kukamuliwa
Serikali ina hisa asilimia 40% (Japo sidhani kama wamechangia kikamilifu hizo 40%). By the way hata angejenga mjomba wako.., bado kuna running costs, hivyo utalipia tu.