Daraja la Kigamboni kuzinduliwa hivi karibuni

Daraja la Kigamboni kuzinduliwa hivi karibuni

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,525
Reaction score
46,612
juzi dau alinipigia simu.., kaniambia limekamilika kwa 75%

UPDATE: Linaziduliwa 16/04/2016. Limekamilika.

21273647858_4c65f6968d_o.jpg
 
Litakuwa kama yale majengo ya PSPF Moshi ambapo watu walihoji kulikoni hiyo haraka ya uzinduzi!

By the way, huyo mzee kwenye picha mwenye kanzu na kibaragashia bila hata kuvaa safety gear kama wenzake ni nani!?

 
Hofu yangu hivi ni yale ambayo meli kubwa ikipita linafunguliwa? Na huu umeme wetu wa kijiko? Msaada wadau nijuzeni tu.
 
eti kawaajiri.............sijui,mimi michango yango ndo imewaajiri....Tanzania tunasafari ndeeeeefu ambayo hata hatujaianza,hatujui kama tunatakiwa tuianze,

Tatizo akili yako iko limited! Unachukua direct translation kwenye kila kitu!
 
Dr Dau hapo amekosea, hiyo siyo dressing code ya serikali naona hata hakuzingatia sheria za usalama unapokuwa kwenye construction site. Hapo ni sawa na mtu kwenda na jinsi kazini kwenye ofisi za serikali...
 
Dr Dau hapo amekosea, hiyo siyo dressing code ya serikali naona hata hakuzingatia sheria za usalama unapokuwa kwenye construction site. Hapo ni sawa na mtu kwenda na jinsi kazini kwenye ofisi za serikali...
dress code ya serikali ni ipi? kuhusu safety nakuunga mkono
 
Dr Dau hapo amekosea, hiyo siyo dressing code ya serikali naona hata hakuzingatia sheria za usalama unapokuwa kwenye construction site. Hapo ni sawa na mtu kwenda na jinsi kazini kwenye ofisi za serikali...

Nakuunga mkono mwana jf
 
again?,yeah probably my brain is limited(according to you),but what about you,...u don`t even understand....eti kawaajiri...maewaajiri familia yako labda

Tatizo akili yako iko limited! Unachukua direct translation kwenye kila kitu!
 
Back
Top Bottom