Mkalukungone mwamba
Member
- Aug 29, 2022
- 24
- 39
Mamlaka husika waje walitazame usalama wa daraja dogo linalounganisha mawasiliano kutoka Boko Magengeni na Bulumawe linalopatika Kata ya Bunju ambalo lipo hatarini kubomoka kutokana na mvua kubwa zilizonyesha week 3 zilizopita.
Mvua hiyo imesababisha ukingo unaolinda daraja hilo kubombolewa na mafuriko makubwa ya maji ya mvua maana daraja hili ni muhimu sana kwa wakazi wa maeneo hayo.
Mvua hiyo imesababisha ukingo unaolinda daraja hilo kubombolewa na mafuriko makubwa ya maji ya mvua maana daraja hili ni muhimu sana kwa wakazi wa maeneo hayo.