DAR WATU WANAPUMZIKA LINI NA STAREHe

DAR WATU WANAPUMZIKA LINI NA STAREHe

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
16,313
Reaction score
20,904
ratiba ya wiki

jumatatu-jahazi modern taarabu-ddc magomeni.
jumanne-FM-academia ngwasuma -billz
jumatano-twanga billz
alhamis--machozi band-savannah lounge
ijumaa--hii ni kila ukumbi starehe na watu wamejaa.
jumamosi-twanga-mango garden-ngwasuma-mzalendo+++++
jumapili-twanga leaders,ngwasuma msasani,akudo msasani,twaanga tena usiku tcc.

watu siku zote za wiki mko kwenye kumbi za starehe mnafanya kazi saa ngapi??na hata mkienda kazini najua mnaingia bado hang over kibao au hata mnaenda huku mmelewa chakari mnajikausha tu hayo maendeleo yatakuja saa ngapi?ndo maana maofisini karibu yote ukienda kufuatilia kitu wafanyakazi wanakujibu kwa nyodo kishenzi na hata kukutukana na ukiendeleza maswali wanaweza hata kuondoka wakakuacha reception au ofisini masaa.wakenya wakiwapokonya kazi mnalalamika shauri yenu.
 
Ni nani anaweza kuhudhuria kumbi hizo za starehe kila siku? Labda wale madada poa wanaotafuta wanaume. Lakini kwa mtu ''rational'' atakuwa anapenda kimojawapo kati ya hizo!
Ila umewasahau wanangu mwenyewe Kalunde Band pale New Africa
 
1.hakuna kupumnzika ila zikipungua kidogo mfukoni ndio hapo wanajipa off
2.watapumnzikaje na wakati ni nyakati za mwisho hizi?
3.waombee angalau wapunguze.
 
Babukijana u have read my mind nami pia nilikuwa nafikiria hivyo hivyo, nimesoma kwenye blog mmoja Bills kariba ishikie moto alafu ukicheki huo umati wa watu najiuliza wanaamka saa ngapi maana for sure kulala kwao ni saa kumi asubuhi how do they cop? sidhani kama wanafanya kazi kweli kwa hali walioyotoka nayo kwenye club.
 
Ni nani anaweza kuhudhuria kumbi hizo za starehe kila siku? Labda wale madada poa wanaotafuta wanaume. Lakini kwa mtu ''rational'' atakuwa anapenda kimojawapo kati ya hizo!
Ila umewasahau wanangu mwenyewe Kalunde Band pale New Africa
mkuu jamaa wanahudhuria huko kila siku,kama wewe huwa unalala mi nakwambia wanaenda,jaribu kuzunguka huko utakuta mtu nyomi,mfano hiyo jumatatu jahazi nenda ddc magomeni.utakosa hata pa kupita jinsi kulivyojaa.
 
Babukijana u have read my mind nami pia nilikuwa nafikiria hivyo hivyo, nimesoma kwenye blog mmoja Bills kariba ishikie moto alafu ukicheki huo umati wa watu najiuliza wanaamka saa ngapi maana for sure kulala kwao ni saa kumi asubuhi how do they cop? sidhani kama wanafanya kazi kweli kwa hali walioyotoka nayo kwenye club.
ndio hao unawakuta maofisini wanakujibu fyolo fyolo tu.
 
Wapi. Hawatukani kwa sababu ya hangover. Ni kwa sababu hawan kitu mfukoni , wana hasira hawajui watakula nini siku hiyo na watoto wao.

Mbona hujazunguzmzia wafanya biashara ambao hawasubiri mwisho wa mwezi kupata chochote?

Starehe yaweza kuwa ni kimbilio la kupunguza mafrustration ya kila siku ya Bongo na sioni kama ndio kisa cha kudorora huduma maofisini.
 
Wapi. Hawatukani kwa sababu ya hangover. Ni kwa sababu hawan kitu mfukoni , wana hasira hawajui watakula nini siku hiyo na watoto wao.

Mbona hujazunguzmzia wafanya biashara ambao hawasubiri mwisho wa mwezi kupata chochote?

Starehe yaweza kuwa ni kimbilio la kupunguza mafrustration ya kila siku ya Bongo na sioni kama ndio kisa cha kudorora huduma maofisini.
ok member namba moja huyu hapa.
 
Mbona hiyoo ndo alama ya uchumii unaokuaa?? multiplier money effect..mwenye kumbi anapata, muuzaa beer/pombe, dada poa,mpiga bendi, dereva teksi, mchoma mishkaki/nyama/chips, muuza soda, nk nk nk
 
JUMATATU WATU WENGI HUPUMZIKA, hao wanaotimba Jumatatu ni kundi dogo la watu, ila kuanzia hapo.....ni kuseleleka kwa kwenda mbele.
 
ndio maana yake,matumizi yanazidi kipato,kisha watu wanaloloma maisha magumu,mshahara wenyewe ndio huo wa kikwete.

Percent ngapi wanafanya starehe hapa mjini ? waacheni maneno nyie.
kama unakunywa pombe ktk bar fulani hapa town, baada ya miezi mitatu mnajuana woote, hata akiingie mgeni hiyo bar automatically mnajikuta mnajua huyu mgeni, wachache sana tunaojirusha viwanja kuringanisha na kadirio la wakazi milioni tano hapa Dar es salaam.
masikini anaeishi chini ya dola moja atakunywa bia ? atapata wapi mshiko, maana bia huambatana na mishikaki na madudu mengine.
 
Na kuna watu ukipita kwenye hizo kumbi kila siku unawakuta.,hawa huwa tunawaita POPO
 
ratiba ya wiki

jumatatu-jahazi modern taarabu-ddc magomeni.
jumanne- mwenyewe umeonyesha mapumziko hakuna sehemu ya kwenda
jumatano-twanga billz
alhamis--machozi band-savannah lounge
ijumaa--hii ni kila ukumbi starehe na watu wamejaa.
jumamosi-twanga-mango garden-ngwasuma-mzalendo+++++
jumapili-twanga leaders,ngwasuma msasani,akudo msasani,twaanga tena usiku tcc.
 
ratiba ya wiki

jumatatu-jahazi modern taarabu-ddc magomeni.
jumanne-
jumatano-twanga billz
alhamis--machozi band-savannah lounge
ijumaa--hii ni kila ukumbi starehe na watu wamejaa.
jumamosi-twanga-mango garden-ngwasuma-mzalendo+++++
jumapili-twanga leaders,ngwasuma msasani,akudo msasani,twaanga tena usiku tcc.

watu siku zote za wiki mko kwenye kumbi za starehe mnafanya kazi saa ngapi??na hata mkienda kazini najua mnaingia bado hang over kibao au hata mnaenda huku mmelewa chakari mnajikausha tu hayo maendeleo yatakuja saa ngapi?ndo maana maofisini karibu yote ukienda kufuatilia kitu wafanyakazi wanakujibu kwa nyodo kishenzi na hata kukutukana na ukiendeleza maswali wanaweza hata kuondoka wakakuacha reception au ofisini masaa.wakenya wakiwapokonya kazi mnalalamika shauri yenu.

Jumanne mchiriku kwa jirani
 
Umesahau na sherehe na michango ya ulaji, Kadi za michango kibao,
1. Send off party
2. Receiption party
2.Birthday party
4.Ubarikio party
5. Ubatizo party
6.Graduation(kuanzia chekechea mpaka university) party
7.Engagement party
8.Bridal shower party
9.Baby shower party
10. Kitchen party
11. Vikao vya harusi
12. kumtoa mwali
13....

Hizi zote huwa zinahusika na ama kula ama kunywa au vyote. Na michango inakusanywa tena kwa ufuatiliaji mkubwa hasa. Yaani Bongo everything is business siku hizi.
 
dar tuko mor than 5 mil, kuna watu wana private business, wako wanaongia shit za jioni wanatoka usiku wanaamua kumalizia siku kwenye starehe, wako ambao siku zao za kupumzika ni j3,j4 ....! wanaamua kwenda kwenye starehe, wako ambao kuwepo kwenye hizo kumbi ndo wako kazi ivyo,!
NB: WANAONGIA KATIKA HIZO KUMBI NI LESS THAN 0.2 MIL PER DAY (WIK DAYS), HAWAKILISHI WAKAZI WA DAR NA WENGI WAO NI WA SINZA, KINONDONI, NA K/NYAMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom