Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
ndio maana yake,matumizi yanazidi kipato,kisha watu wanaloloma maisha magumu,mshahara wenyewe ndio huo wa kikwete.
wanaishije?
source plse
ndio maana yake,matumizi yanazidi kipato,kisha watu wanaloloma maisha magumu,mshahara wenyewe ndio huo wa kikwete.
mkuu jamaa wanahudhuria huko kila siku,kama wewe huwa unalala mi nakwambia wanaenda,jaribu kuzunguka huko utakuta mtu nyomi,mfano hiyo jumatatu jahazi nenda ddc magomeni.utakosa hata pa kupita jinsi kulivyojaa.
saa ingine anapiga na supu kiria bar saa 12 asubuhi akirudi homu ni mswaki tu juu juu kisha anaulamba huyo anaingia job na akienda saa nne lazima akazimueNa isitoshe mtu huyohuyo,na usiku mmoja,anaanzia let say kona bar baada ya mda kidogo utaskia ngoja
nkachungulie MEEDA meeda anakunywa bia mbili baada ya mda kidogo ngoja nkachulie SAN CIRO napo
bia mbili baada ya mda kidogo ngoja nkachungulie KWA MACHENI napo bia mbili baada ya apo ngoja
nkamalizie MANGO GARDEN akifika mango garden ni saa kumi alfajiri ebu niambie uyo mtu ofisini asubui
yake mtaelewana kweli?????????????:A S angry:
jumanne pending mkuu,lazima kuna sehemu ngoja kuna mdau atatukumbusha.ama jumanne kwenye kikao cha harusiJumanne!
rushwa na wizi makazini kwao,utapeli na vidili vya hapa na pale.wanaishije?
source plse
shem upo?mi ni weekend tu ndio naburudika kwa nafasi,tena hata marafiki wananishangaa nnavozichapa,na huwa nawaambia mkienda kwetu ndio mtajua siri ya urembo maana hii ni kama maji ya kunywa.na wewe shem unapumziika lili
Si kweli tatizo kubwa hapa ni ajira hakuna watu wanalewa maana hajui kesho akiamka anaenda, na kwa utafiti wangu wengi unaowaona mabaa usk siku za kazi ni madalali na day work{dei waka} ambao ni kundi kubwaWabongo twapenda sana starehe kuliko kazi