real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
DAR: Mahakama ya Kisutu imewahukumu wafanyabiashara watatu kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya Shs. milioni 9 (milioni 3 kila moja) baada ya kuwakuta na hatia ya kusafirisha madini ya dhahabu yenye thamani ya milioni 507 bila kibali.
Mhakama pia imetaifisha madini hayo yenye uzito wa kilo 6.242 kuwa mali ya serikali
Waliohukumiwa ni mfanyabiashara Mashaka Lucas, Japhari Hussein na Akeef Mohamed
Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama ya Kisutu, Huruma Shaidi alisema hukumu hiyo imezingatia watuhumiwa kukiri kosa hilo na kuwa ni mara yao ya kwanza kutenda kosa hilo,
Chanzo: Millard Ayo
Mhakama pia imetaifisha madini hayo yenye uzito wa kilo 6.242 kuwa mali ya serikali
Waliohukumiwa ni mfanyabiashara Mashaka Lucas, Japhari Hussein na Akeef Mohamed
Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama ya Kisutu, Huruma Shaidi alisema hukumu hiyo imezingatia watuhumiwa kukiri kosa hilo na kuwa ni mara yao ya kwanza kutenda kosa hilo,
Chanzo: Millard Ayo