Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,348
- 5,977
Wakuu kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.
But kuna jambo la ziada jana usiku.
Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, jee ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimyaaaaaa!!!!
But kuna jambo la ziada jana usiku.
Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, jee ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimyaaaaaa!!!!