benbry
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 183
- 54
Hivi serikali haioni ni kwa kiasi gani inapoteza kwa sababu ya foleni ktk hii barabara? tunajua inatengenezwa fine, ila watengenezaji kwa nini wanaitengeneza kibabe hivyo? nani anaijua foleni ya kwenda mjini hasa maeneo ya kuivuka kimara? kwa nini pale kimara wasipanue kile kipande haraka ili magari yapite kwa urahisi? Nina hasira kupitiliza.