Tman Clever
Member
- Dec 20, 2012
- 37
- 28
Tar 5/08/2021Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.
Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.
Wafanye ya shuruba kabisa,kwani yautayari mepesi,kwani mziki wa katiba mpya sii wa mchezo mchezo.Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.
Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.
Ndio mkuu.. mbona kujenga au kuwa na nyumba ni jambo la kawaida sana ktk dunia ya leo!Mkuu kuwa serious basi wewe una nyumba?
Mhu! Tunahitaji good judgement ili tuonye rangi nyeupe kama nyeupe na nyekundu kama nyekundu.Polisi mazoezi n jambo LA kawaida tu
Mkuu umejisahau we mwenyewe hapo chini!!Leo listi inaanza kutimia kama nilivyotabiri hapo jana safari hii likiongozwa na johnthebaptist ...
Baadaye kidogo wataungana na wenzao hawa ambao kwa sasa wako mapumzikoni...
Kamanda Asiyechoka
Mr Dudumizi
digba sowey
IDEGENDA
Niza doyi
Kivumishi Kielezi
Gerald .M Magembe
Elitwege
Idugunde
Jumbe Brown
USSR
Magonjwa Mtambuka
Dr Akili
JUMA JUMA
mtanzania1989
Phillipo Bukililo
Wandugu taarifa zilizopo ni kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vimejiandaa kwelikweli kuharibu sura ya yeyote atakayejaribu kuweka mguu wake Kisutu.
Naambiwa kila kona wamejipanga. Kwa wale wanaopenda kuendelea kupumua hewa ya dunia hii nawashauri usikanyage Kisutu Kesho. Ona tu kipande kidogo kwa hisani ya watu wa Tanzania.
Napendekeza wavunjwe viuno kabisa Hawa wafuasi wa ghaidi mbowe
Mapichapicha tu mkuu....Sina hakika ya haya maandamano ya kwenye Jamhuri JF tutayaona mahakama ya Kisutu. Tuendelee tuu kupamba humu kwenye kurasa za JF na kuhamasishana.
Tunaendelea kuona picha isiyo timia.
You have said it wellChadema ni lazima wajue kuwa....
Vox populi vs dictates of the law
Mahakamani si sehemu ya mikusanyiko mikubwa.....
Mahakamani si sehemu ya kufanyia maandamano....
Nini maana yake ?!!
........huweza yakaingilia maamuzi ya majaji kwa shinikizo la waandamanaji......
#NchiKwanza
#UtiiWaSheriaBilaYaShuruti
hawa mlenda sana.. waende msumbiji.. mbona wamekataa kwenda?Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.
Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.
Mida ndio hii, mbona hamuonekani makamanda?Tukutane mahakamani kesho.
Tusitishane.
Tuliza mshono,tusubirie tunakuja.Mida ndio hii, mbona hamuonekani makamanda?
TanPol ndio jeshi la polisi la hovyo duniani.Hii ndiyo kazi namba 1 ambayo policcm wanaimudu kwa 100%! Ila ukiwaambia wawatafute waliompiga Tundu Lissu risasi, unakuta wanang'aza ng'aza tu macho!
Eti "tunamtaka dereva na yeye mwenyewe waje kutoa ushahidi" Sasa ingetokea wamekufa wote siku ya tukio!! Mbona Rais wa Haiti ameuwawa, lakini wahusika wametiwa mbaroni?
Generali wa Museveni alishambuliwa kwa risasi, watuhumiwa wametiwa mbaroni! Wa Tundu Lissu, hawajulikani!!!
Hayo ni mazoezi ya kwenda kuwaua wana Chadema.Askari wa jeshi la polisi wakiongozwa na kamanda wa kanda maalumu afande Muliro leo wamefanya mazoezi maalumu.
Afande Muliro amesema mazoezi hayo ni ya kawaida kwa askari kujiweka tayari kupambana na uhalifu.
Siro anatumika na Sukuma Gang kumhujumu Rais Samia,ila Mama anaona wanamsaidia kuwakomoa Chadema. Na kwa kiasi kikubwa hii kampeni yao imefanikiwa kwani Mama kaingia mzima mzima kwenye huu mtego.Hii ndiyo kazi namba 1 ambayo policcm wanaimudu kwa 100%! Ila ukiwaambia wawatafute waliompiga Tundu Lissu risasi, unakuta wanang'aza ng'aza tu macho!
Eti "tunamtaka dereva na yeye mwenyewe waje kutoa ushahidi" Sasa ingetokea wamekufa wote siku ya tukio!! Mbona Rais wa Haiti ameuwawa, lakini wahusika wametiwa mbaroni?
Generali wa Museveni alishambuliwa kwa risasi, watuhumiwa wametiwa mbaroni! Wa Tundu Lissu, hawajulikani!!!