digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,907
- 14,380
Membe hakula wala kunywa...Aiseeee yamekuwa hayo
Tehteh nimecheka kwenye uadilifu...Pole sana mzee wetu Philip Mangula kwa kukabiliana na majukumu mazito ulopewa.
Umemaliza kazi hizo kwa uadilifu na umakini wa hali ya juu.
Mungu aendelee kukupa nafuu na upone haraka.
Tehteh nimecheka kwenye uadilifu...
Duh! Naona wazee wa Mtama ni wakali kama wale wa Ruangwa. So mnakumbuka ule moshi....!
Haya Naona Mmeleta Moshi Hapa Hii Kazi Ya RuangwaDuh! Naona wazee wa Mtama ni wakali kama wale wa Ruangwa. So mnakumbuka ule moshi....!
Hunizidi mimi.Ccm yoyote akikumbwa na tatizo lolote huwa nafarijika saaaaana...
Sent using Jamii Forums mobile app