digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,780
- 14,098
Rais wa Tanzania, John Magufuli leo Jumamosi Februari 29, 2020 amemjulia hali makamu mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana
======
PHILIP MANGULA AANGUKA GHAFLA, ALAZWA. RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA
Rais Magufuli leo Februari 29, 2020 amemjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, Mangula amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU)
======
PHILIP MANGULA AANGUKA GHAFLA, ALAZWA. RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA
Rais Magufuli leo Februari 29, 2020 amemjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, Mangula amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU)