Dar: Philip Mangula aanguka gafla, alazwa ICU. Rais Magufuli amjulia hali

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,780
14,098
Rais wa Tanzania, John Magufuli leo Jumamosi Februari 29, 2020 amemjulia hali makamu mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana

======

PHILIP MANGULA AANGUKA GHAFLA, ALAZWA. RAIS MAGUFULI AMTEMBELEA

Rais Magufuli leo Februari 29, 2020 amemjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuanguka ghafla jana

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, Mangula amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum (ICU)
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom