Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

Dar Pekee waliokufa ni zaidi ya elfu 10!!

Acha uzushi

Usisahau kuleta takwimu za mali zilizoharibiwa na hao vibaka ambao walikufa..

Siku mkifa kwa sababu ya maandamano, mje hapa tuungane kulia na kuidhabu serikali.

Lakini kwa sasa msituunganishe na ujambazi wenu huo mlifanya kwa kimvuli cha maandamano.
Tulia wewe takataka
 
Back
Top Bottom