Haa😁Sema ana bahati alikuwa hajafunga mkanda aliwahi kuruka
Ndio mkuuHaa
Akawahi Lukolo Hall
Hizo ndege ndo zilivyo. Nakumbuka hata kwenye movie ya bushman ilianguka hivyo hivyoo
safi.Natumaini uko vyemaNzuri we mdada mambo vipi?
Yeah Rafiki ,niko poasafi.Natumaini uko vyema
blessedYeah Rafiki ,niko poa
Blessed tooblessed
Hii itakua ndo boda boda yao huko angani.Ndege ndogo aina ya Cessna 150G yenye usajili wa TCAA namba 5H-BOB imeanguka leo jioni katika eneo la Kitunda Mnadani/relini. Ndege hiyo ilikuwa katika hatua za mwisho kabla ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Taarifa zinasema kulikuwa na watu wawili ndani ya ndege hiyo na wote wametoka wazima, hakuna majeruhi.
Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo hakijafahamika, vyombo vya usalama vinaendelea na uchunguzi.
yule mama alitapeliwa alikua na madeni akakutana na waganga feki ndio wakamfanyia ule mchezoMnao uhakika ni ndege kweli? Sio zile tunazoambiwa imetunguliwa na "wataalamu"
Mwaka jana maeneo ya hukohuko Ukonga, sehemu inayoitwa Banana karibu kabisa na Mamlaka ya Anga kuna Mwanamke inasemekana alitunguliwa na "wataalamu wa mambo" akaangukia kwenye Paa la nyumba iliyopo maeneo hayo.
Apongezwe kwa lipi wakati ietua yenyewe ipongezwe ndegePongezi kwa rubani