Duuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.Rudi kwenu shamba ukalime mvua zimeshaanza
Duuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Mjuba uko Vizuri bila shaka hapo ni Jalalani alipotolewa kabudi ndo umekulia apoDuuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Duuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Bila shaka sasa hivi unaishi mbinguniDuuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Wacha wee...wewe unaishi kwa nguvu zako na akili zakoBila Mungu wanaDaresalaam wote wangeamia perish kabisa watu wanaishi kimungumungu tu yani ni kudra za mwenyezi
acha zarau.sis wenyewe pia tumekulia huko huko.hapo mliman city ndio tulikua tunapenda kweli kuja kuokota mabibo.mana kulikua na mikorosho ming kweli.pori tupu enzi hizo.hostel za mliman main campus usiku naziona zilee.way back 1994Duuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Hata chawa na kunguni huwajui wakoje!! Astakafillulah!!!Duuh mkuu, nimekulia kwenye taasisi ya elimu ya juu.
Yaani utoto wangu nimecheza kombolela kwenye lecture halls.
Yaani pale ambapo wengi wenu ndio pamewafanya mfike mjini kwa Mara ya kwanza ndiko nilikozaliwa.
Kalianzisha nikaona nimalizie.
Kama unanipenda si uniambie tu.
Hizi ndio zile ID wamiliki wake jinsia zao haziendani na majina yao.