Dar mnatuangusha sana wana UKAWA

Dar mnatuangusha sana wana UKAWA

Rich Pol
hicho chama tawala kinatawala nini?
~~~~~~

naomba unishawishi niwezi kuichagua ccm 2015 kwenye uchaguzi mkuu

Sasa ikiwa kiswahili kinakupa shida, kweli unaelewa mambo mengine ama mpaka uhadithiwe? "Neno niwezi" umeona wapi? Then hakuna kushawishiwa kuna kuelimishwa so kwa ujinga wako unaona siasa ni kushawishiwa ndio maana upinzani akili zenu ziko katika makalio!
 
Last edited by a moderator:
Dar inatakiwa kuvunjwa yoote maana ni maficho ya majahili ya uchumi wa watanzania!Dude hili linanyonya mikoa yetu kama jini chunusi na wanaofaidika ni makahaba waliojazana Dar wakihongwa na hao mafisadi.Acha niishie hapa kwani nina hasira sana na hawa raia

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
comment yako imenipa hope walau kidogo, ila pamoja na hayo makundi yaliyotawala hapo dar kama ulivyoyataja , bado ni % kubwa mno ya wakazi wa hapo ni masikini wa kiwango wa kushindia mlo miwili per day lakini hawajigusi, vichwa viko chini kama kondoo hawaonyeshi nia ya kuchukizwa na umasikini wala hawana hata muda wa kujua chanzo cha umasikini wao, yaani wamemuachia mungu ilimradi kukuche. Watu wa taabu ya namna hii inayotokana na system waliyoiweka kwa ridhaa yao wenyewe wanastahili kuwa front kumpazia sauti mtawala waliomkabithi mamlaka ya kuwatawala na kudai haki yao na kuchochea mabadiliko ya mfumo kujikomboa.Dar wamachinga pekee ndio mmewaacha wanajitokeza peke yao hawana back up ya watu wa kada zingine wakiwa front kwenye kusimamia haki na mabadiliko.Imagine ile kada ya vijana unaopishana nao hapo posta na bahasha za cv's zilizolowa jasho kwa kuzunguka kila kukicha kutafuta ajira hewa, kada hii ingekuwa inanawapa back up hao wamachinga wetu walau hata kuhamasisha na kuwa front kwenye vote ballot walau ili sura za wenye kuhitaji mabadiliko zisiwe zile-zile za wamachinga wa kila siku, Hapo Dar tuna kada kubwa mno ya vijana smart wenye taabu zitokanazo na system na taabu hizo ni kubwa kuliko za wamachinga ila huwa wanajifungia ndani wanaposikia sauti ya mabadiliko ikirindima huko nje na kuwaachia wamachinga pekee wapambane, na kutokana na hulka ya wamachinga obviously inakuwa easy kuwapa wanamabadiliko hawa picha ya wahuni kutokana na nature ya ajira ya wataka mabadiliko mliowaachia jukumu la kuwasaidia kudai haki na mabadiliko.Kenya Mtawala anabehave na anajali watawaliwa kwasabau anajua aki-disturb rights za watawaliwa yeye kama mtawala atapata challenge kubwa kwasababu wanaotoka front kupaza sauti kudai haki na mabadiliko ya system ni watu wa maana: kada za wasomi, wamachinga, wafanyakazi, wasio na ajira n.k.Hakuna mjinga Nairobi, Bunge likifanya maamuzi ya kipuuzi raiya wote bila kujali kada watachonga majeneza ya wabunge na majina yao na kuja nayo nje ya bunge kuwapinga watawala na challenge dhidi ya mtawala inaonekana wazi kwasababu watawaliwa wa kila kada wamejielewa na wamejitokeza kwa pamoja kudai na kusimamia haki inayokiukwa na mtawala na mwisho wa siku mtawala nasurrender na ananyooka.Misri chanzo cha harakati zote za mabadiliko zilianzishwa na Mmachinga aliyejipa ajira hiyo ya umachinga baada ya kumaliza chuo kikuu na kukosa ajira, mmachinga aliyejimwagia petrol na kujiwasha moto hadi kufa kupinga uonevu wa askari wa jiji.Hapa kwetu mtoto anamaliza mpaka masters na anakosa ajira, hajiajiri, ana miaka 40 anakula na kulala kwa wazazi hajigusi hadi kifo chake kitakapomkuta.Shule ni muhimu sana, binafsi kupenda kujisomea ni silaha pekee ya kumuinua mnyonge.Shule ni muhimu sana jamani, shule sio kwa ajili ya kupata ajira , bali kujua wewe ni nani, na unastahili nini na unastahili kufanya nini kupata unachostahili.
Daudi .....iko shida ...kubwa kwa ndugu zetu kama wewe ...munadai mabadiliko huku ukiwa uko mhali na vita hii....unataka mabadiliko huku ukiwa una view kwa mbali. .....oooh my God. Mwenzako tulipogundua kuwa nchi haiwezi kubadilika bila nguvu yetu.....tukisaliti kazi zetu .....vipato vyetu na leo tumo katika harakati hizi ......siku moja nilimwambia Mzee Mwanakijiji kwamba arudi nyumhani tutumie uzoefu na taaluma zetu ili tulibadilishe Taifa hili. ....kimya kilichukua nafasi yakeDaudi mchambuzi wewe unajua ili umtawale mtu ....mfanye akose elimu, ......mgawe kwa kutumia, dini yake ......tumia vyombo vya umma (jeshi) ili kukandamiza na kutia hofu wananchi ...ni kufanya hivyo mtawala unaweza kubaki madalakani .......sasa hawa marafiki zetu ccm wame apply hizo factors kwa muda mrefu ....ila wamefika mahali point of return ...sasa hawajui wafanye nini tena. Daudi kuhusu Dar ...2015 kutakuwa na mabadiliko makubwa sana ....tunaangalia njia bora ya kugawana haya majimbo na kata .....uchaguzi serikali za mitaa umetupa road map....tumeweza kujua wapi Cuf wanakubalika na wapi chadema wanakubalika ......lakini ujio wa vijana wengi kujiandikisha imeleta matumaini makubwa Daudi mori wa kimasai umeongezeka ....wananchi kwa sasa wana hamasa kubwa .....kitendo cha upinzani kupata more than 35% inatufanya tuwe na nguvu mara dufu. Hawa Ccm ni wafalme ....tutaendelea kukata mizizi kule vijijini na mijini .....ni jambo la muda tu Mchambuzi
 
Daudi .....iko shida ...kubwa kwa ndugu zetu kama wewe ...munadai mabadiliko huku ukiwa uko mhali na vita hii....unataka mabadiliko huku ukiwa una view kwa mbali. .....oooh my God. Mwenzako tulipogundua kuwa nchi haiwezi kubadilika bila nguvu yetu.....tukisaliti kazi zetu .....vipato vyetu na leo tumo katika harakati hizi ......siku moja nilimwambia Mzee Mwanakijiji kwamba arudi nyumhani tutumie uzoefu na taaluma zetu ili tulibadilishe Taifa hili. ....kimya kilichukua nafasi yakeDaudi mchambuzi wewe unajua ili umtawale mtu ....mfanye akose elimu, ......mgawe kwa kutumia, dini yake ......tumia vyombo vya umma (jeshi) ili kukandamiza na kutia hofu wananchi ...ni kufanya hivyo mtawala unaweza kubaki madalakani .......sasa hawa marafiki zetu ccm wame apply hizo factors kwa muda mrefu ....ila wamefika mahali point of return ...sasa hawajui wafanye nini tena. Daudi kuhusu Dar ...2015 kutakuwa na mabadiliko makubwa sana ....tunaangalia njia bora ya kugawana haya majimbo na kata .....uchaguzi serikali za mitaa umetupa road map....tumeweza kujua wapi Cuf wanakubalika na wapi chadema wanakubalika ......lakini ujio wa vijana wengi kujiandikisha imeleta matumaini makubwa Daudi mori wa kimasai umeongezeka ....wananchi kwa sasa wana hamasa kubwa .....kitendo cha upinzani kupata more than 35% inatufanya tuwe na nguvu mara dufu. Hawa Ccm ni wafalme ....tutaendelea kukata mizizi kule vijijini na mijini .....ni jambo la muda tu Mchambuzi
nafarijika sana kupata mawazo yako yenye matumaini makubwa.
naamini tutafikia lengo kuu kama ulivyosema.
 
nafarijika sana kupata mawazo yako yenye matumaini makubwa.naamini tutafikia lengo kuu kama ulivyosema.
Daudi Mchambuzi hiyo faraja unayoipata toka kwenye hii mistari yangu haitoshi ....jitahidi angalau na wewe uwe sehemu ya mabadiliko katika taifa hili Mchambuzi ...ukiweza kusaidia moja ya mitaa waliyo shinda ....mfano kule wilayani uliko zaliwa, kuna vijiji UKAWA wameshinda ....chagua kijiji kimoja kisha wachimbie kisima kimoja na siyo pesa nyingi ....ni kwa kufanya hivi imani itaongezeka kwa wapiga kura .....2015...Mchambuzi ukiishia hapa jukwaani kwa kudai mabadiliko Jf utakuwa haujaonesha nia yako thabiti kuleta changes
 
Asilimia 80 ya watanzania wanaonufaika na mfumo wa sasa (Under CCM rule) wapo Dar unategemea nini??
 
Hamna lolote!! km mngetoka wote kujiandikisha na kupiga kura, naamini haingekuwa 75 kwa 25!!! may be ukawa wangekuwa juu ya ccm!!
Next tme kuweni werevu banaa!!

Hee... unajuaje?
Labda kwa Dar ccm ndio ina wapiga kura wengi kuliko ukawa, utalazimisha??
 
Daudi Mchambuzi hiyo faraja unayoipata toka kwenye hii mistari yangu haitoshi ....jitahidi angalau na wewe uwe sehemu ya mabadiliko katika taifa hili Mchambuzi ...ukiweza kusaidia moja ya mitaa waliyo shinda ....mfano kule wilayani uliko zaliwa, kuna vijiji UKAWA wameshinda ....chagua kijiji kimoja kisha wachimbie kisima kimoja na siyo pesa nyingi ....ni kwa kufanya hivi imani itaongezeka kwa wapiga kura .....2015...Mchambuzi ukiishia hapa jukwaani kwa kudai mabadiliko Jf utakuwa haujaonesha nia yako thabiti kuleta changes
naomba kudeclare interest kuwa mimi ni mmoja kati watu wa front sana tena wa kujitolea kwenye harakati za mabadiliko, ni mmoja kati ya wahusika waliosimika 'chadema ni misingi' practically ktk eneo langu na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa na niko front kwa kiwango cha ku-risk maisha yangu kusimamia mabadiliko kwa vitendo so nifute kabisa kwenye kundi la wanaharakati wa nyuma ya keyboard.
Wazo la kongeza imani kwa umma kwa kuwafanyia maendeleo kama kuwaletea maji n.k ni wazo jema nalipokea kwa mikono miwili.
 
nafarijika sana kupata mawazo yako yenye matumaini makubwa.
naamini tutafikia lengo kuu kama ulivyosema.

Daudi Mchambuzi

Wenyewe wataalam wa sayansi ya siasa wanasema kuwa "You lose the Capital you lose the Government".

Hilo jambo ccm wanalitambua vizuri sana ndiyo sababu wanatumia nguvu nyingi sana kuliko mikoa mingine ili kuhakikisha kwamba wanaidhibiti Dsm hata kama ni kwa mabavu.

Lakini jambo zuri ni kwamba Dsm imeendelea kuwaponyoka ccm gradually na hatimaye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 itakuwa ni historia mpya kwa jiji la Dar es salaam.

Kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na Chadema katika kuwaamsha wana Dar es salaam ni kubwa sana na ujio wa UKAWA ni big boost kwa ukombozi wa jiji la Dar es salaam kutoka katika makucha ya mkoloni ccm.
 
Last edited by a moderator:
Daudi Mchambuzi

Wenyewe wataalam wa sayansi ya siasa wanasema kuwa "You lose the Capital you lose the Government".

Hilo jambo ccm wanalitambua vizuri sana ndiyo sababu wanatumia nguvu nyingi sana kuliko mikoa mingine ili kuhakikisha kwamba wanaidhibiti Dsm hata kama ni kwa mabavu.

Lakini jambo zuri ni kwamba Dsm imeendelea kuwaponyoka ccm gradually na hatimaye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 itakuwa ni historia mpya kwa jiji la Dar es salaam.

Kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na Chadema katika kuwaamsha wana Dar es salaam ni kubwa sana na ujio wa UKAWA ni big boost kwa ukombozi wa jiji la Dar es salaam kutoka katika makucha ya mkoloni ccm.
Mwita Maranya hahika tunapaswa kulikomboa jiji,
tunao wabunge wawili tayari hapo jijini, tunapaswa kuongeza wabunge wengine sio chini ya wawili ili safari yetu inoge haswaa.
 
Last edited by a moderator:
naomba kudeclare interest kuwa mimi ni mmoja kati watu wa front sana tena wa kujitolea kwenye harakati za mabadiliko, ni mmoja kati ya wahusika waliosimika 'chadema ni misingi' practically ktk eneo langu na nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa na niko front kwa kiwango cha ku-risk maisha yangu kusimamia mabadiliko kwa vitendo so nifute kabisa kwenye kundi la wanaharakati wa nyuma ya keyboard.Wazo la kongeza imani kwa umma kwa kuwafanyia maendeleo kama kuwaletea maji n.k ni wazo jema nalipokea kwa mikono miwili.
Daudi Mchambuzi ....sasa tuna sehemu ya Dola ni jukumu letu kuanza kutatua sehemu ya kero za wananchi ....mfano tuna35% ya srrikali za mitaa sasa tuoneshe utofauti na watawala wetu ccm ....mfano hapo uliposimamia chadema ni msingi nina imani mmepata mitaa ya kutosha ....sasa anzeni kwa kuondoa michango ya walinzi. ...mshahara wa mlinzi mbona hata wewe unaweza kumlipa? .....ile huduma ya barua za wananchi ondoeni zile 2000/.... wapewe bure .....fikirieni kununua photocopy machine na computer kama shule za misingi umeme .....kwa ajili ya kutoa mitihani ya majaribio Daudi msisahau kuwa sasa mikutano ya kulia na ccm muda si mrefu itakoma kwenye level ya mitaa /vijiji ...nntusisahau kusoma mapato na matumuzi kila miezi 3
 
Daudi Mchambuzi ....sasa tuna sehemu ya Dola ni jukumu letu kuanza kutatua sehemu ya kero za wananchi ....mfano tuna35% ya srrikali za mitaa sasa tuoneshe utofauti na watawala wetu ccm ....mfano hapo uliposimamia chadema ni msingi nina imani mmepata mitaa ya kutosha ....sasa anzeni kwa kuondoa michango ya walinzi. ...mshahara wa mlinzi mbona hata wewe unaweza kumlipa? .....ile huduma ya barua za wananchi ondoeni zile 2000/.... wapewe bure .....fikirieni kununua photocopy machine na computer kama shule za misingi umeme .....kwa ajili ya kutoa mitihani ya majaribio Daudi msisahau kuwa sasa mikutano ya kulia na ccm muda si mrefu itakoma kwenye level ya mitaa /vijiji ...nntusisahau kusoma mapato na matumuzi kila miezi 3
nashukuru kwa ushauri wako mkuu, hakika huko tuendako tunahitaji haya uliyoshauri ili tufikie lengo, shukrani.
 
Daudi Mchambuzi

Wenyewe wataalam wa sayansi ya siasa wanasema kuwa "You lose the Capital you lose the Government".

Hilo jambo ccm wanalitambua vizuri sana ndiyo sababu wanatumia nguvu nyingi sana kuliko mikoa mingine ili kuhakikisha kwamba wanaidhibiti Dsm hata kama ni kwa mabavu.

Lakini jambo zuri ni kwamba Dsm imeendelea kuwaponyoka ccm gradually na hatimaye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 itakuwa ni historia mpya kwa jiji la Dar es salaam.

Kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na Chadema katika kuwaamsha wana Dar es salaam ni kubwa sana na ujio wa UKAWA ni big boost kwa ukombozi wa jiji la Dar es salaam kutoka katika makucha ya mkoloni ccm.

Bila mbeleko ya marefferee hawawezi kucheza mechi, ndiyo sababu timu kubwa kama CCM inawalazimu kununua waamuzi na hata baadhi ya wachezaji kutoka timu ya Ukawa(Chadema, CUF&NCCR-Mageuzi) kwakuwa wanajua fairplay hawawezi watashindwa mechi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom