Dar mnatuangusha sana wana UKAWA

Dar mnatuangusha sana wana UKAWA

Samaki mchanga wape bigup wana Dar es salaam ....wana ukawa wamepata 25% ccm 75% lakini unajua kuwa serikali nzima inaishi Dar? usalama wote wanaishi Dar ....wakuu wote wa majeshi wako Dar .......wajuaji wote ...wasoma magazeti wote ..much know wote wanashi Dar......Samaki mchanga vita ni kali kuliko mikoani ....sasa unadhani ccm hapa Dar ndipo ikulu ipo ....ghafla tu wakubali wapokwe Dar .....taratibu ndiyo mwendo tutaelewana tu ni jambo la Muda

Hamna lolote!! km mngetoka wote kujiandikisha na kupiga kura, naamini haingekuwa 75 kwa 25!!! may be ukawa wangekuwa juu ya ccm!!
Next tme kuweni werevu banaa!!
 
Ukiona kunj watu wanakumbatia ccm ujue wanakumbatia umasikini linganisha maisha ya watu wa kawe na temeke ubungo na gongo la mboto ukiona watu wanachagua uphnzani ujue wanajua maendeleo.
 
Mleta uzi hana uchambuzi wa maana.Nani ka gain katika uchaguzi huu?vilikuwepo vitongoji vichache sana Dar lakini sasa kata nzimanzima zina ongozwa na wapinzani.hata ukuwa uliza ccm makini wanajua na wanatafakari kasi ya kupoteza mitaa.Ina maana tukirudia kama kasi ndiyo hii na mapingamizi ya sipokuwepo ccm kita kuwa chama cha upinzani,jambo ambalo litafanya wajinyonge

Elimu na hamasa vinatakiwa! why muwe wachache vile daftarini!!? ndio maana tunasema badilikeni!!
 
UKAWA imeanguka Tanzania nzima si Dar pekee.

Fananisha 80% na 20% halafu bado mna kauli?

Kama ulikuwa na viti 153 M/kiti SM mwaka 2009, halafu mwaka huu2014 ukapoteza viti 78 hapo unakuwa umeshinda au umeshindwa!? Au mnashinda kwa mapingamizi na ubabe wa hujuma!?
 
Badilikeni bana mlijiandikisha wachache mno mno tunawategemea watu wa dar kwa mabadiliko kama Benghazi vile.mi siwachukii nawapongeza mmeanza vema wahimizeni vijana wajiandikishe na siku ya kupiga kura waende dar mko wengi mkifikia million 4 tu nasie wa huku gangilonga lazima nyinyiem wakae.mkiamua mnaweza .mbona kwenye matamasha ya kili au diamond zakeem mnajaa .mi Nina machungu sana.Yes We can
 
Ukipendacho ukawa!!
sio ccm, amini usiamini ccm bila vyama pinzani haya maboko tunayaona yangekuwa yanamezewa mate!!
 
Naomba elimu itolewe kwa vijana aisee, maana kuondoa ccm mimi nitajitahidi! Vipi kuhusu vijana wengine hasa wasio kuwa na elimu?


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama ulikuwa na viti 153 M/kiti SM mwaka 2009, halafu mwaka huu2014 ukapoteza viti 78 hapo unakuwa umeshinda au umeshindwa!? Au mnashinda kwa mapingamizi na ubabe wa hujuma!?

Hata ukipoteza vyote 153 lakini Kitaifa kama una 80% na wapinzani wooooooote wana 20% unabaki kuwa mshindi tena kwa kishindo.

Ushindi huo aliupata Kikwete dhidi ya Mbowe mwaka 2000. Mbowe hakurudi tena kugombea Urais kwa maumivu aliyoyapata.




Hata umfufue Einstein hatoweza kukupa jibu mbadala.
 
...Hata umfufue Einstein hatoweza kukupa jibu mbadala.[/QUOTE]

Kwa ushindi wa mezani!? Uchaguzi huu wa SM 2014 haujawahi kuwa na impact kubwa kama ambavyo umewahi kufanyika miaka ya nyuma, mmezoea kutuchezesha mpira kwenye uwanja usio na magoli! Safari hii magoli tutayasimamia wenyewe labda muwahi kumalizana na marefferee(Tume) watakaochezesha mechi hiyo kubwa mwakani! Maana bila mapingamizi hamuwezi kushinda hadi mbebwe! Ni aibu kwa timu kubwa kama CCM kulia kuchezewa rafu wakati uwanja ni wao, waamuzi ni wao na watanua magoli ni nyie! Wenyewe mmechanganyikiwa huko kwenu Lumumba fc hamkai mkanywa chai ikapita kisa Ukawa na hasa Chadema inawahenyesha sana! Kama mechi ndogo tu kama hii mmegwaya mkaamua kufanya hujuma mbali mbali kwa kubebwa, itakuwaje mechi kubwa ya mwakani si mtatupoteza nyie!? Au wengine ndio tutapotea bila maiti zetu kujulikana zilipotupwa/kuzikwa!?
 
Dar wasaka tonge wapo kibao hata hawajielewi wapowapo tu
 
Hata ukipoteza vyote 153 lakini Kitaifa kama una 80% na wapinzani wooooooote wana 20% unabaki kuwa mshindi tena kwa kishindo.Ushindi huo aliupata Kikwete dhidi ya Mbowe mwaka 2000. Mbowe hakurudi tena kugombea Urais kwa maumivu aliyoyapata.
'Hata umfufue Einstein hatoweza kukupa jibu mbadala.
Faizafoxy.......Naona hauchezi mbali na hekaya za Nape ......80% ccm wataitoa wapi dada yangu?........Hebu jiulize hapa Dar ambapo UKAWA haukupata mitaa ya kutosha lakini wana 25%... vipi Mara, Manyara, Mwz,shinyanga, Geita, Morogoro, Kagera ....?Sasa Faizafoxy ukiendelea kupiga kelele nitayabandika hapa matokeo kwa kila Mkoa na % zake......Kwa haraka haraka Ukawa wana 39.75% mpaka sasa ....na tukifanya probabilities ..ya yale majimbo mliopita bila kupingwa ....sijui .....Angalia fauzafoxy mna zaidi ya mitaa 300 ya bure ....je UKAWA wasingepata mitaa 50 kati ya hiyo 300? .....sasa Subiri .......Jambo la kufurahisha vijana wameamka ...
 
Hata ukipoteza vyote 153 lakini Kitaifa kama una 80% na wapinzani wooooooote wana 20% unabaki kuwa mshindi tena kwa kishindo.

Ushindi huo aliupata Kikwete dhidi ya Mbowe mwaka 2000. Mbowe hakurudi tena kugombea Urais kwa maumivu aliyoyapata.




Hata umfufue Einstein hatoweza kukupa jibu mbadala.

Halafu itabidi mkae mfundishane hesabu za kujumlisha na kutoa kwa kutumia ile kanuni ya MAGAZIJUTO bila kusahau na asilimia, unakumbuka ile kanuni ya hesabu inayosema Iringa pana Raha Tele juu ya 100!? Nape anasema 84% Tamisemi 80% tushike ipi!?
 
Hapa Dar wanaishi maisha mabovu sana,lakini mimi nahsi wachache tunaojitambua pale tulipo tumwage elimu kitaeleweka.

Mfano mzuri ni hii kata nilipo ya Segerea yote na mitaa yake 8 ilikuwa ccm.Tumemwaga sumu na baada ya uchaguzi mitaa mitano imekwenda UKAWA. nayo ni
Amani,Ugomborwa(anakoishi Makongoro Mahanga),Migombani,Liwiti na Mfaume.
Wao ccm wamebaki na mitaa miwili ya Machimbo na Misewe(hii yote ni mitaa mipya).
Mtaa wa Segerea mwenyekiti ni ccm na mjumbe mmoja ila walobaki ni UKAWA.
Diwani ni chadema,kwahyo Dar mabadiliko yapo ila kasi ndogo.
 
Hapa Dar wanaishi maisha mabovu sana,lakini mimi nahsi wachache tunaojitambua pale tulipo tumwage elimu kitaeleweka.

Mfano mzuri ni hii kata nilipo ya Segerea yote na mitaa yake 8 ilikuwa ccm.Tumemwaga sumu na baada ya uchaguzi mitaa mitano imekwenda UKAWA. nayo ni
Amani,Ugomborwa(anakoishi Makongoro Mahanga),Migombani,Liwiti na Mfaume.
Wao ccm wamebaki na mitaa miwili ya Machimbo na Misewe(hii yote ni mitaa mipya).
Mtaa wa Segerea mwenyekiti ni ccm na mjumbe mmoja ila walobaki ni UKAWA.
Diwani ni chadema,kwahyo Dar mabadiliko yapo ila kasi ndogo.

Mkuu ahsante kwa taarifa! Kama utaweza soma MAWIO la leo 25/12/2015 ukurasa wa 4 soma kwa umakini, taratibu, hadi uelewe, kisha utafakari na uchukue hatua!
 
Nilishasema humu wakazi wengi wa Dar ni waswahili (hawajaelimika, wavivu, wacheza vigodoro) wakifuatiwa na wezi wa maofisini (wanaogopa ukiwa kinyume na CCM unapelekwa Namanyere), malaya/mashangingi, mateja/wapiga debe, wapambe na wafanyabiashara wakwepa kodi (pinga CCM ukione) so kumuondoa huyu mdudu CCM kazi ipo!

Hawa watu wa Dar wanajitambua na wanafanya upembuzi yakinifu siyo ushabiki ambao hauna maana kama wafanyavyo wavivu wa kufikiri. Kila kitu akisema fulani (Chadema) unaunga mkono hata kama ni utumbo wewe unaunga mkono. tumienei akili zenu kupambanua mambo na si kila unachoambiwa wewe unasema YES sir kwa sababu amesema mtoka Chadema. Acheni ujinga sisi tunafanya maamuzi ya akili na si kushawishiwa na mtu. Popote pale Dunia hakuna mwanasiasa mkweli wote wanatafuta ajira tu kama watu wengine. Kuongea uongo ni sehemu ya ajira ya wanasiasa.
 
dar ukitaka kuwapata uandae ubwabwa!
_pili maji na foleni ndio zinawapotezea muda mwingi katika maisha yao
_mimi ninaishi kijijini na nafurahia sana hapa kuliko huko kwenye hizo kero kuu

Hujasoma uishi mjini kutafuta nn ama unataka kuwa "panya road"
 
Nilishasema humu wakazi wengi wa Dar ni waswahili (hawajaelimika, wavivu, wacheza vigodoro) wakifuatiwa na wezi wa maofisini (wanaogopa ukiwa kinyume na CCM unapelekwa Namanyere), malaya/mashangingi, mateja/wapiga debe, wapambe na wafanyabiashara wakwepa kodi (pinga CCM ukione) so kumuondoa huyu mdudu CCM kazi ipo!

Wewe jitu moja jinga sana, kabila lako la kichokoron unazarau uswahili?
Sasa hizi University na Institutions zote Dar kweli hakuna wasomi? Sema hakuna Wapenda siasa za kijinga
 
Back
Top Bottom