Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,240
- 3,931
Tycoon kama MO anakuwa na ulinzi binafsi. Tena wa makomandoo kabisa, siku zote mtekaji akishazingilwa haijalishi ana kifaru au SMG lazima ata surrender tu. Maana inayomuua mtu sio ile siraha, la hasha ni risasi iliyondani ya siraha, tena yenye ukubwa wa kipenyo cha sm 5!!Watekaji inasemekana walikuwa na silaha kali hata kama alikuwa na body guard asingeweza kuzuia. Hii kulingana na matangazo ya redio yanayotangazwa na Charles Kiswanta wa Zenj.