PrinceNsabho
Member
- Oct 27, 2015
- 34
- 27
Mabasi ya DAR LUX yafanyayo safari zake ktk baadhi ya mikoa hapa nchini imejikuta ikidhalilisha abiria wake baada yakuonekana inapendwa na abiria wengi. Uongozi wa kampuni hiyo umejikuta unaingiwa tamaa na kujikuta inalazimisha madereva wake kufika na kugeuza siku hiyo hiyo bila kujali umbali wa safari anayoenda ( yaani go and return) bila kupumzika kwa kuwa wapo wawili ktk kila gari.
Hali hiyo leo imesababisha Dereva kusinzia mpaka saa moja kasorobo na kuibua taharuki kubwa kwa abiria wa gari Na.2 la Dar-Mza.Hizo ni taarifa nilizozipata kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo ambaye chonde ameomba kuhifadhi jina lake. Kwa mujibu wa bwana huyo ameongeza kusema hata ujira wa madereva wake hauendani na umbali wa safari za Mza tena kwa kwenda nakugeuza.
Tuwaombe mamlaka zinazohusika na safari za mabasi kuchunguza hilo swala kwa kuwa ni la hatari kwa usalama wa abiria na madereva wake
Hali hiyo leo imesababisha Dereva kusinzia mpaka saa moja kasorobo na kuibua taharuki kubwa kwa abiria wa gari Na.2 la Dar-Mza.Hizo ni taarifa nilizozipata kwa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo ambaye chonde ameomba kuhifadhi jina lake. Kwa mujibu wa bwana huyo ameongeza kusema hata ujira wa madereva wake hauendani na umbali wa safari za Mza tena kwa kwenda nakugeuza.
Tuwaombe mamlaka zinazohusika na safari za mabasi kuchunguza hilo swala kwa kuwa ni la hatari kwa usalama wa abiria na madereva wake