Naona ni wakati wa kuwa na minada mingi kama iliyopo kanda ya ziwa.
Nadhani viongozi wa Dar wakajifunze sasa kanda ya ziwa minada inaendeshwaje na kwa mwezi tuwe na minada mingapi katika Mkoa.
Hatuna sababu ya kua na Malls Au Super Markets kwa sababu hazina maana kwa sasa hizo zikiwepo.
Wanyonge watateseka nadhani ni wakati wa kukuza uchumi kupitia hawa wanyonge tena tukiwapa na vitambulisho wafanye biashara kwa uhuru.
Nadhani viongozi wa Dar wakajifunze sasa kanda ya ziwa minada inaendeshwaje na kwa mwezi tuwe na minada mingapi katika Mkoa.
Hatuna sababu ya kua na Malls Au Super Markets kwa sababu hazina maana kwa sasa hizo zikiwepo.
Wanyonge watateseka nadhani ni wakati wa kukuza uchumi kupitia hawa wanyonge tena tukiwapa na vitambulisho wafanye biashara kwa uhuru.