hivyo vifaa vimejaa kibao aggrey ila zingatia haya
1. hakikisha simu yako ina mhl
2. ujue inasuport mhl version ipi, maana zipo nyingi na kila version ya mhl ina idadi ya pin zake tofauti kuna ya pin 5, pin 11 etc
mfano yako inakubali pin 11 ukanunua ya pin 5 itabidi utafute tena adapter ya pili ya pin 5 kwenda 11.
mimi yangu nilinunua makutano ya aggrey na likoma yale yenye acessory za simu.
za blackberry 10,000 tu, ile inaitwa micro HDMI unazipata uhuru na msimbazi kwenda uhuru na congo nje ya maduka ya wasomali, seti nzima inakuwa 20,000 ambayo ndani ina hdmi, mini Hdmi na micro Hdmi.
za blackberry 10,000 tu, ile inaitwa micro HDMI unazipata uhuru na msimbazi kwenda uhuru na congo nje ya maduka ya wasomali, seti nzima inakuwa 20,000 ambayo ndani ina hdmi, mini Hdmi na micro Hdmi.
wakuu hebu tupeni maujanja ya kutumia hivi vitu kwa faida ya wote..mfano nina simu yangu ya samsung j7 na nina tv ya samsung sio smart tv..nataka kuangalia u tube ..from sim to tv..au nichague app yoyote ile kwenye sim niangalie kwenye tv yangu.je nitumie vifaa gani ili niunganishe from sim to tv asant .
wakuu hebu tupeni maujanja ya kutumia hivi vitu kwa faida ya wote..mfano nina simu yangu ya samsung j7 na nina tv ya samsung sio smart tv..nataka kuangalia u tube ..from sim to tv..au nichague app yoyote ile kwenye sim niangalie kwenye tv yangu.je nitumie vifaa gani ili niunganishe from sim to tv asant .