Dar hii nitapata wapi USB-to-HDMI converter?

Zinauzwa bei gani vile vile unafanyaje kwenye simu kujua kama ina mhl
 
Zinauzwa bei gani vile vile unafanyaje kwenye simu kujua kama ina mhl
Aisee nimekuta pale KDV sijui (KVD) bei ikanituliza 150k!
 
Mkuu nimezunguka Arusha nzima sijazipata! Nahitaji ya smartphone ya kawaida na pia ile ndogo yake! Kama za Blackberry10! Nawezapata?
Kama upo serious tufanye biashara 0672852415 au fatilia post yangu kwenye matangazo madogo na biashara
 
Mkuu nimezunguka Arusha nzima sijazipata! Nahitaji ya smartphone ya kawaida na pia ile ndogo yake! Kama za Blackberry10! Nawezapata?
za blackberry 10,000 tu, ile inaitwa micro HDMI unazipata uhuru na msimbazi kwenda uhuru na congo nje ya maduka ya wasomali, seti nzima inakuwa 20,000 ambayo ndani ina hdmi, mini Hdmi na micro Hdmi.
 
za blackberry 10,000 tu, ile inaitwa micro HDMI unazipata uhuru na msimbazi kwenda uhuru na congo nje ya maduka ya wasomali, seti nzima inakuwa 20,000 ambayo ndani ina hdmi, mini Hdmi na micro Hdmi.
Asante mkuu.
 
wakuu hebu tupeni maujanja ya kutumia hivi vitu kwa faida ya wote..mfano nina simu yangu ya samsung j7 na nina tv ya samsung sio smart tv..nataka kuangalia u tube ..from sim to tv..au nichague app yoyote ile kwenye sim niangalie kwenye tv yangu.je nitumie vifaa gani ili niunganishe from sim to tv asant .
 
Kifaa ni hicho ulicho onyeshwa hapo juu bei elfu sabini karibu ofisini [HASHTAG]#0672852415[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…