Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 61,023 Reaction score 36,881 May 9, 2015 #1 Wapendwa habari nilizonazo darexpress inaungua Kwamwenye info zaidi tuabarishe Karibu nawami
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,370 May 9, 2015 #2 Wewe amekupa nani taarifa?
bornagain JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 3,383 Reaction score 1,360 May 9, 2015 #3 Du ina maana Dar Express kila siku inaungulia Wami?
masai dada JF-Expert Member Joined Dec 29, 2013 Posts 16,800 Reaction score 16,823 May 9, 2015 #4 hamna anaejua pdidy wewe kakwambia nani?
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 May 9, 2015 #5 masai dada said: hamna anaejua pdidy wewe kakwambia nani? Click to expand... itakua katoa whatsapp kwenye group
masai dada said: hamna anaejua pdidy wewe kakwambia nani? Click to expand... itakua katoa whatsapp kwenye group
masai dada JF-Expert Member Joined Dec 29, 2013 Posts 16,800 Reaction score 16,823 May 9, 2015 #6 bornagain said: Du ina maana Dar Express kila siku inaungulia Wami? Click to expand... hata kuharibika nishazikuta kama mbili pale wami zimeharibika
bornagain said: Du ina maana Dar Express kila siku inaungulia Wami? Click to expand... hata kuharibika nishazikuta kama mbili pale wami zimeharibika
masai dada JF-Expert Member Joined Dec 29, 2013 Posts 16,800 Reaction score 16,823 May 9, 2015 #7 rubii said: itakua katoa whatsapp kwenye group Click to expand... uwendaa......
KIJOME JF-Expert Member Joined Jun 7, 2012 Posts 3,084 Reaction score 733 May 9, 2015 #8 Ni Kweli wadau kuna mtu kapita hapo kaiona ikiteketea.
wiseboy. JF-Expert Member Joined Aug 11, 2014 Posts 2,931 Reaction score 4,549 May 9, 2015 #9 masai dada said: hata kuharibika nishazikuta kama mbili pale wami zimeharibika Click to expand... Wewe si umeolewa shinyanga? Na huko wami ulikuwa unatokea au unaenda wapi?
masai dada said: hata kuharibika nishazikuta kama mbili pale wami zimeharibika Click to expand... Wewe si umeolewa shinyanga? Na huko wami ulikuwa unatokea au unaenda wapi?
Steph Curry JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 5,936 Reaction score 4,713 May 9, 2015 #10 Mpwa we si mzee wa doria utujuze vizuri au doria lako linaishia Ocean Road.. CC: Raimundo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,251 May 9, 2015 #11 Nimeona picha insta ila inaonekana kama habari ya kitambo
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,369 Reaction score 27,785 May 9, 2015 #12 Whatt????
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 29,028 Reaction score 35,143 May 9, 2015 #13 Yaani mwenyewe hujui umeuliza swari!!
L lukelo sakafu JF-Expert Member Joined Feb 19, 2015 Posts 2,938 Reaction score 517 May 9, 2015 #14 weka picha
Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,415 Reaction score 12,622 May 9, 2015 #15 Steph Curry said: Mpwa we si mzee wa doria utujuze vizuri au doria lako linaishia Ocean Road.. CC: Raimundo Click to expand... Mpwa hana jipya kwa sasa, kazi kuchungulia mikeka ya wahindi! cc Pdidy Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Steph Curry said: Mpwa we si mzee wa doria utujuze vizuri au doria lako linaishia Ocean Road.. CC: Raimundo Click to expand... Mpwa hana jipya kwa sasa, kazi kuchungulia mikeka ya wahindi! cc Pdidy
Mtumpole JF-Expert Member Joined Aug 30, 2010 Posts 2,280 Reaction score 1,293 May 9, 2015 #16 Pdidy , jiandae na kesi!
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 61,023 Reaction score 36,881 May 9, 2015 Thread starter #17 lukelo sakafu said: weka picha Click to expand... Loh nyiemkisikia majiran. mnapanda kwenyedari kuangalia sauti zamiito
lukelo sakafu said: weka picha Click to expand... Loh nyiemkisikia majiran. mnapanda kwenyedari kuangalia sauti zamiito
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 40,527 Reaction score 46,612 May 9, 2015 #18 Cyber crime law inakuhusu wewe, unaleta habari za uongo humu?!
Pdidy JF-Expert Member Joined Nov 22, 2007 Posts 61,023 Reaction score 36,881 May 9, 2015 Thread starter #19 wiseboy. said: Wewe si umeolewa shinyanga? Na huko wami ulikuwa unatokea au unaenda wapi? Click to expand... Bwanawako akishugulikiivizuri m hakokamchezo sofanyii.wanaumewenzangu.cheki. na sakanypla
wiseboy. said: Wewe si umeolewa shinyanga? Na huko wami ulikuwa unatokea au unaenda wapi? Click to expand... Bwanawako akishugulikiivizuri m hakokamchezo sofanyii.wanaumewenzangu.cheki. na sakanypla
I issa ramadhani JF-Expert Member Joined Nov 11, 2014 Posts 1,319 Reaction score 260 May 9, 2015 #20 itakuwa mwenye magar alilogea wami sasa na wenzake wameenda kumlogea hapo hapo