connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,840
- 3,908
Kwa kweli nahama rasmi Dar Express bora KILIMANJARO EXPRESS au IBRA LINE/BUFFALO/KIRUMO CHARO/MACHAME SAFARI
Nimepanda basi la DAR EXPRESS toka DAR kwenda ARUSHA kwanza kauli za wakatisha tiketi pale UBUNGO ni za ajabu hasa (Mr. Mamkwe) kuingia garini abiria tunatukanwa ovyo ovyo kisa kuuliza kwa nini Dereva anaenda mwendo kasi ulipititiliza (Dereva Mr. Robert), kufika hotelini kwao chakula kibovu/kiporo na bei ya juu kuuliza nimeambulia kuambiwa kama hutaki ACHA, chooni nako ma.vi yamejaa mpaka juuu. Hakika zama za DAR EXPRESS zimekwisha
kuna CHAKITO mzee Moshi Dar masaa 6 tu
mwacheni mzee mremi upumzike bana, ashaihudumia sana hii nchi katika kiwango cha juu kabisa kwa usafir wa basi. lisilo na mwisho ,mwanzo wake haukuwepo.
ukitaka kuwajua wahuni panda Happy nation
kuna CHAKITO mzee Moshi Dar masaa 6 tu