mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Ukitaka kujua kinagaubaga fika jeshi la police makao makuuWamevuruga amani lini?
Ukitaka kujua kinagaubaga fika jeshi la police makao makuuWamevuruga amani lini?
Wapi walihamasisha vurugu?Kutangaza maandamano ya amani ambayo ni haki kikatiba ni vurugu?
Ndicho walichosema, sasa kama unataka kujua zaidi jisalimishe kwa MambosasaSasa kama wanachokijua polisi hukijui haya ya kusema kuwa wanahamasisha vurugu umeyatoa wapi?
Kukubali au kukataa kwamba wanachosema police ni fact ni maamuzi ya mtu binafsiNdicho walichosema?Kwani kila wanachosema polisi ni fact?
Miaka3 ijayo tuuUtakua dissappointed kwa unachofanya humu baada ya miaka kadhaa Behaviourist
No inategemea Atakua na uelewa Mzuri lini, Hata miaka 10 inaweza fikaMiaka3 ijayo tuu
Hiyo ni weweSasa kama kukubali ni maamuzi ya mtu kwa nini unalazimika kuniambia kuwa ni polisi wamesema?Kama kukubali ni hiari ya mtu kubali wewe mwenyewe huko,mimi naamini walichosema polisi ni tuhuma tu na wala siyo fact kwa sababu hakuna ushahidi wowote.
Mungu ibariki Tanzania 😍🇹🇿🙏No inategemea Atakua na uelewa Mzuri lini, Hata miaka 10 inaweza fika
Kawaulize vyombo vya ulinzi na usalama!Wamevuruga amani lini?
Una Amani ww au woga tu.Kamata wote kabsa ambao wanavuruga Amani yetu
Hiyo ni mimi nini?
Eti Mimi nilijua tuu hatutoboi kwa hili mbanga linalopigwa hatutoboiii
Eti Mimi nilijua tuu hatutoboi kwa hili mbanga linalopigwa hatutoboiii
Pole sana. Tatizo lako unatakakutubebesha watanzania wote. Umebugi na terminology zako hizo za kizungu.Je Elimu yetu has been crafted to make us lame, weak, timid, meek and subservient? Kwa nini tunakuwa wepesi kujisalimisha hasa haki inapoporwa Kibabe? Kwa nini tumekuwa na woga hata kuongea na kupigia kelele wizi huu wa kura na uchaguzi? Nani katufanya bubu, viziwi na vipofu?
Unapenda kuchakatwa eheee? Ndo hiyo jamaa yako kashachakatwa huko ubelgiji.Kama yupo anayetaka nimchakate , nileteeee, nitakulipa pesa nzuri ambayo haujawahi kuipata tangu umezaliwa.
Ukiona kichwa chako chepesi kama madam polepole kwenye baadhi ya mambo sio dhambi kupita kimya kimya, upo hapa dada angu ?Pole sana. Tatizo lako unatakakutubebesha watanzania wote. Umebugi na terminology zako hizo za kizungu.
Binti yangu nina alergy na vilaza, kaa mbali na comment zangu nisije nikakufilimba.Haki gani iliyoporwa kibabe? Didn't you vote na je kama ulivote kuna mtu alikushikia bunduki kichwani kutaka uvote for whom you don't want? Wananchi tulishaamua kuwa wapinzani ni wapuuzi na hatukuwataka, unalia nini? We umeona wapi kama si ujinga, mtu amechaguliwa na wananchi wake akawawakilishe bungeni, mwakilishi anenda bungeni eti anaenda kubishana na kumkashifu rais badala ya kujenga hoja ya maana. Wapinzani hawana akili.
Wangemkamata kwanza yule mhutu anayejiita msukumaKamata wote kabsa ambao wanavuruga Amani yetu