Kwa muda mrefu sasa,jiji la dar es salaam limekosa mkuu wa mkoa! Toka baraza la mawaziri litangazwe,ambapo Ndg. William Lukuvi aliyekuwa anashika nafasi hiyo alipoteuliwa kuwa waziri-ofisi ya raisi Bunge,jiji hili liko chini ya mtu anayekaimu tu! Maswali yafuatayo yanajitokeza
Hivi kuteua mtu tu nayo ni kazi? Au hatuna 'shemeji aliyebaki' au bado wanasoma?
Je kama tunaweza kukubali jiji kubwa na lenye umuhimu kitaifa na kimataifa likaimiwe, je wakuu wa mikoa wana umuhimu kweli?
Mimi nashindwa kuelewa wana JF nisaidieni!
Hivi kuteua mtu tu nayo ni kazi? Au hatuna 'shemeji aliyebaki' au bado wanasoma?
Je kama tunaweza kukubali jiji kubwa na lenye umuhimu kitaifa na kimataifa likaimiwe, je wakuu wa mikoa wana umuhimu kweli?
Mimi nashindwa kuelewa wana JF nisaidieni!