Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,718
- 830,771
Kunenge(nuka,)Jiji la.....
Kunenge(nuka,)Jiji la.....
His face says a lot, let's wait and see.I suspect Kunenge ni Mtiifu kwa Bashite..
"Kwenye Mkoa wangu" kauli maarufu sana ya Makonda, tutaimis hii..
Naona Dar imepata Mkuu Wa mkoa Mtendaji, siyo mwanasiasa.. Tuone atakuja na jipya gani.
Let's wait to see Kunenge's wonders..
Daah juzi kati alikuwa ameanzisha operation tokomeza michepukoDAB katunyoosha sana lakini.
Let's meet at the top, cheers![]()
Karibu tena kwny mtanange boss.Daah juzi kati alikuwa ameanzisha operation tokomeza michepuko
Kwa hili alinifurahisha sana
Thanx my nimekumiss we kichwa hadi basi!Karibu tena kwny mtanange boss.
Yes kaacha legacy yake, ngoja tumtazame kwenye uwaziri pia
You see! Sasa mambo gani hayaa, watu tushindwe kufurahi na michepuko kisa mtu mmoja.Daah juzi kati alikuwa ameanzisha operation tokomeza michepuko
Kwa hili alinifurahisha sana
Anapewa wizara iliyoachwa wazi na Hussein MwinyuUje pia useme WIZARA MPYA YA MAMBO YA NDANI CHINI YA MAKONDA...
Ninasema na waTz wanielewe: 'sijamtuma mtu yeyote kugombea ubunge'......chagueni mtu jinsi mtakavyompima wenyewe'.....kwani mpaka nimtume? Si nina nafasi zangu kumi za kuteua mtu ubunge!'.....Anapewa wizara iliyoachwa wazi na Hussein Mwinyu