Dar es salaam kuna haja ya kuanza kubadili muundo wa Majengo, Wahandisi karibuni tushirikishane!

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,655
Dar es salaam ni mji ambao wakazi wanaongezeka kwa kasi sana uongezekaji huu ni kwa asilimia karibu 5 kwa mwaka.. kwa mfano mwaka 2019 idadi ya watu ni 6400,000 yaani hawa wanaishi dares salaam!

kwa maoteo ya Haraka yaani "Projection" kwa miaka kumi ijayo P=6400000(1+0.05)^10=1040000!

Tuseme basi Milioni Kumi.. hii ina maana mwa muda wa miaka Kumi ijayo Dar es salaam itakuwa ngumu ku accomodate watu Millioni kumi kwa majengo ya kawaida!

Wahandisi wenzangu hii ni Fursa hasa sasa ya kutazama.. ya Kujenga Hata 10 Storey Residential Building!

Kwa Mfano!
1105058


Sasa kwa eneo kama Dar es salaam inatakiwa Wahandisi tuanze kujikita katika kubuni majengo ya aina hii.. yatakuja kuwa na soko kubwa sana miaka Kumi ijayo!

Lets meet at the top, Future is Exciting!

I Stand to be corrected!


Believer!
 
Cha muhimu ni mikoa mingine iendelezwe, viwanda vipelekwe au vijengwe kwenye mikoa mingine hapo ndipo watu watakapo tulia huko walioko zaliwa au kukimbilie mikoa mingine. Na Pia tupunfuze idadi ya watoto tunao zaa. Huko China ni sheria hakuna kuzaa zaidi ya watoto wawili
 
Cha muhimu ni mikoa mingine iendelezwe, viwanda vipelekwe au vijengwe kwenye mikoa mingine hapo ndipo watu watakapo tulia huko walioko zaliwa au kukimbilie mikoa mingine. Na Pia tupunfuze idadi ya watoto tunao zaa. Huko China ni sheria hakuna kuzaa zaidi ya watoto wawili
Mkuu Dsm ni Mji wa kibiashara huenda pato kubwa la Taifa hupatikana hapa.. ni ngumu kuhamisha.. na kulimit uzazi ni ngumu kwa sababu watu zaidi ya m55 nnchi nzima ni wachache sana ukicompare na nchi zingine!
 
... si kuna mamia ya maghorofa kule Dege Beach kwenye ule mradi wa NSSF wanaishi popo badala ya wananchi?
 
Wamesha iyondoa iyo sheri china.
Cha muhimu ni mikoa mingine iendelezwe, viwanda vipelekwe au vijengwe kwenye mikoa mingine hapo ndipo watu watakapo tulia huko walioko zaliwa au kukimbilie mikoa mingine. Na Pia tupunfuze idadi ya watoto tunao zaa. Huko China ni sheria hakuna kuzaa zaidi ya watoto wawili
 
Wamesha iyondoa iyo sheri china.
Hade 2015 walikua wanaruhusiwa mtoto mmoja tu. From 2015 wakaongezewa hadi watoto wawili bada yahapo sijasikia sheria nyingine labda imetoka hivi karibuni.
Population kwakweli Inaongezeka kwa kasi sana hasa nchi za third world na dunia haiendelei kupanuka. Misitu inazidi kupungua
 
... si kuna mamia ya maghorofa kule Dege Beach kwenye ule mradi wa NSSF wanaishi popo badala ya wananchi?
Mkuu asilimia kubwa ya wananchi dsm wanaishi nyumba za kawaida kwa muda huu ila kwa wakati huo nadhani tunatakiwa na nyumba za aina hizo!
 
Back
Top Bottom