Dar es salaam in 2060

Dar es salaam in 2060

Nitakuja kuishuhudia "nikifufuka" manake wengi wetu humu tutakua tumeRIP
 
Hamna kitu.Kwa aina ya marais tunaokuwa nao na tabia za watanzania kubung'aa macho pale watu wanapotafuna nchi yao wenyewe.Ndhani hiyo ni LUSAKA 2060 au KAMPALA 2060
 
With the existing government in power,I doubt too much and if they can do such a thing , it will not be in our life time.
 
Avator yako na ulichojibu siwezi kushangaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

leave alone the email id.

By the way, watu watazaliwa, watu watakufa - Dar will never be like this kwa staili ya watawala tulionao. Ila tukipata viongozi, angalau ndoto za namna hiyo tunaweza kuanza kuzipata, maana kwa sasa ndoto ni namna ya kupambana na maaskari watiifu wa wapindisha sheria, ndoto za kutafuta ugali, na zinazofanania njaa njaa tu.
 
Back
Top Bottom