Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
WanaJamii,
Mnaweza kunisaidia taarifa yoyote ambayo DAWASA waitoa kuhusu ukosekanaji wa MAJI katika Jiji la Dar es Salaam?
Ni siku ya tatu leo naona mabomba yako kimya!!!
Mnaweza kunisaidia taarifa yoyote ambayo DAWASA waitoa kuhusu ukosekanaji wa MAJI katika Jiji la Dar es Salaam?
Ni siku ya tatu leo naona mabomba yako kimya!!!