Dar es Salaam City in Photos

Karume stadium
karumemachingacomplex.jpg
 
Ni kweli pia ni kati ya majiji unplanned,nashauri ingefaa wangeunganisha Bagamoyo,kibaha na sehemu ya morogoro na sehemu ya tanga then utengenezwe satellite city(jiji la kisasa ambalo ni planned),halafu zihamishwe wizara zote zihamishiwe huko kwani ni dhahiri KUHAMIA DODOMA nadhani imekuwa ngumu.
NB; mfano mzuri Nigeria walihamisha mji mkuu toka LAGOS hadi ABUJA.
Magufuli ameweza tumpongeze
 
hii ya zamani sana, yaani hata mafuta house ilikua bado haijakamilika, sasa kuna EXIM TOWER NA EXPRESS HOTEL bado haijakamilika pia kuna HOLIDAY INN, mbele ya mafuta kuna NMB house, ELITE TOWER ambayo itakamilika muda si mrefu pia,
angalia hilo eneo sasa hivi
View attachment 27402
Samahani hii picha ni mwaka Gan?
 
Yakitokea ya Japan patachimbika mjini (Mungu aepushie mbali).
Yaani lile ghorofa la katikati ya mji nasikia liliporomoka baada ya jamaa mmoja aliyekuwa na 'kikohozi' kubanja kwa nguvu alipokuwa akikatiza pale, na mliona vifusi vyake vilivyokuwa vimelundwa pale jangwani utafikiri ni machimbo ya mchanga. Sasa likija tetemeko kama Japan itabidi kupima upya viwanja maana patakuwa level!
 
Ndio maana ikaanzishwa sheria kila jumamos kila mmoja asafise mazingira yanayomzunguka, kuweka jiji kua safi hata wewe linakuhusu na toka sheria hii inatekelezwa imesaidia kwa asilimia 60 jiji kua safi
Hiyo hatukatai baadhi ya sehemu ambayo yamefanyiwa usafi na wanaoishi sehemu hizo ni safi na ni aslimia 20 tu. Mwenzetu wewe unakataa kuwa jiji bado ni chafu sanaa kulinfanisha na heshima yake ?
 
majengo yote hayo yapo scattered sehemu mmoja, tuletee na za vingunguti, bugurini na mbagala
 
Yaani lile ghorofa la katikati ya mji nasikia liliporomoka baada ya jamaa mmoja aliyekuwa na 'kikohozi' kubanja kwa nguvu alipokuwa akikatiza pale, na mliona vifusi vyake vilivyokuwa vimelundwa pale jangwani utafikiri ni machimbo ya mchanga. Sasa likija tetemeko kama Japan itabidi kupima upya viwanja maana patakuwa level!
Bahati nzuri dar haiwezi kukumbwa na tetemeko la ardhi, sio potential site inayoweza kupigwa na earthquake.
 
Mkuu hii ni Masaki? Mbona imepangika vizuri sana aisee? ama kweli ndo maana bongo kila mtu anamvizia mwenzake.
1b707020b8b011e2943422000a9f3095_7_zps94c9fdb0-jpg.499773
 
Hiyo hatukatai baadhi ya sehemu ambayo yamefanyiwa usafi na wanaoishi sehemu hizo ni safi na ni aslimia 20 tu. Mwenzetu wewe unakataa kuwa jiji bado ni chafu sanaa kulinfanisha na heshima yake ?
hebu yapime maneno yako vzr
 
Back
Top Bottom