Wacha Hasira, tuletee vitu hivyo.... vya kigogo manzese. .. wengine hatuvijui
Ndinda any thought kuhusu ule mega mradi wa NHC Kawe? Naona Kama umesimama vile. Any info......please share.
Safi sana hii
Asante sana, je Kwa Mujibu wa Master plan ya jiji la Dar ni sehemu gani zapaswa kujengwa ghorofa ndefu?Pale sijui mkuu, nona wale Green waste Pro wameweka magari ya na vifaa vya kusafishia jiji.
Asante sana, je Kwa Mujibu wa Master plan ya jiji la Dar ni sehemu gani zapaswa kujengwa ghorofa ndefu?